Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
Tutatolea taarifa kwenye kamati kuuMkuu Elia F Michael , humu JF tulionyeshwa Fomu za vituo vitatu zikifanana serial number zake hali inayoleta ukakasi. Je, hauna mpango wa kupinga matokeo ya Ubunge Buyungu katika Mahakama Kuu ya Tanzania?