Neno la shukrani alilotoa kijana aliyepiga picha expansion joints za hostel

Je angekuwa anaonesha kuwa yuko kwenye mlengo wa chama cha mafisadi ccm bado ungemuonya kuwa anajiweka katika hatari ya kuchinjw?
 
Hivi ulichokiandika kinapinga au kinaunga mkono niliyoyasema..??? Nyerere alitengeneza taifa na watu waoga sana... Leo hii badala ya kumtazama jamaa kwamba alichosema kimepelekea marekebisho kufanyika, mmebaki kumtisha na kumpa maonyo mkuu..!!!
 
Kupitia uzi huu nimeamini ule msemo usemao..... Katika watu 100 watu 90 watasema haiwezekani na 10 tu ndo watasema inawezekana...
 
Reactions: PNC
Mwoga nikuogopa kufanya kitu. Mtumwa wa fikira ni kuwaambia wengine waogope kama wewe. Kifo sio kitu kitakacho kufanya usifanye lile unalotaka.COWARDNES IS A THREAT.
 
Ongea na mzee Lowassa atakushauri mawili matatu kuhusu mwenendo wako nyakati hizi
 
Dogo nkwambie kitu!!!!!achana na siasa soma kwanza ukishamaliza unaezaa ukawabanaa koz utakuwa umeelewaa nini maana ya nchi nanan anaimiliki na utaelewaa nini democracy but for now fight
 
dogo unajitahidi na wewe kutanua kifua lakini bado ongeza mazoezi....
 
Muache kuishi kwa mazoea hivi mnafikiri kama wakina mkwawa na machifu wengine hawakuzuia ushenzi wa wazungu leo hii mngekua na uhuru mlio nao kwenye nyumba na mitaa yenu.
Mtu akilivuruga lazima asahihishwe tuu ili siku nyingine awe makini. Tatizo lenu watanzania mna nidhamu za woga hivyo mnaendekeza upuuzi tuu.

Hebu fikiria bro kama asingeweka hizo expansion joint hapo unadhani roho za watu zingekua wapi baada ya muda mfupi maana najua hivyo vijengo havina muda mrefu hapo.
Tunahitaji mashujaa ili kuokoa maisha ya watu kama hawa sio waoga waoga tuu!
Na niwaambie tuu watanzania yote mnayoyaona sasa ni matokeo ya uzezeta wenu wa kumezea ushenzi huku mkijipa matumaini 0.
Watu waliojitambua kama Nigeria, Ghana, Kenya n.k leo hii wako mbali kwa sababu waliamua kufanya kweli na kusema ni mwiko kuendekeza upuuzi wa wajinga fulani.
Hivyo kama mnataka matokeo chanya na ya uhakika lazima mjitathimi na muachane kabisa na maisha ya ujima na mawazo mgando... Kumekucha sasa tokeni gizani.

Viva bro ulini inspire kinoma...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…