jiwe la maji
JF-Expert Member
- May 17, 2014
- 1,062
- 702
Je angekuwa anaonesha kuwa yuko kwenye mlengo wa chama cha mafisadi ccm bado ungemuonya kuwa anajiweka katika hatari ya kuchinjw?Kasome kwanza , kijana ukijitazama kwenye kioo mwili wako una sisimuka unadhani umekomaa, hapana, mbegu za kizazi chako bado, rudi shule kwanza. Lakini nasikitika kuona umejichafu na kujilaani. Watu wabaya wanakuona, shetani naye atakuandama ungali bado mtoto. Acha siasa nenda shule. Kinga yako toka sasa niya kubahatisha bahatisha. Acha siasa sisi wazazi wako tusikupoteze mapema. Siasa ni kuchinjana , kufa au kupona.