Neno la Mungu linasema!

Neno la Mungu linasema!

katusyo

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2013
Posts
1,455
Reaction score
434
Mmezoea kuniona nikija na mada za vichekesho, mada za mpenzi, mada za siasa, leo nimewaletea habali ya uzima wa milele, leo ninamzungumzia mtu mmoja anaitwa yesu kristo huyu ni yeye yule jana leo na hata milele, ee mwanadam kumbuka baada ya kuishi kuna kufa je?

Umejiandaaje na na uzima wa milele? Acha dhambi ukaulisi ufalme wa mungu acha uzinzi acha zinaa acha uasherati acha uwizi acha uwongo, mkabizi Yesu maisha awe bwana na mwokozi wako.

Nikutakieni jumapili njema
 
Heri wenye moyo safi, maana wao watamwona mungu.
 
Ubarikiwe kwa mwaliko wako kwenye ufalme wa Mungu lakini naona kwenye suala la lugha uko shalo sana kajifunze lugha ujue kutofautisha kati ya "si" na "thi", "zi" na "dhi"
Dhambi sio,zambi na urithi,sio urisi.
Ni hayo tu otherwise ujumbe wako nimeupokea vizuri
 
Mungu awabariki wote ambao mnamcha na kumtegemea Mungu kwa kila jambo
 
Ubarikiwe kwa mwaliko wako kwenye ufalme wa Mungu lakini naona kwenye suala la lugha uko shalo sana kajifunze lugha ujue kutofautisha kati ya "si" na "thi", "zi" na "dhi"
Dhambi sio,zambi na urithi,sio urisi.
Ni hayo tu otherwise ujumbe wako nimeupokea vizuri

Amina Ubarikiwe Kwa Huo Moyo Wako Wa Kuelewesha Nami Nasema Nimepokea Mafundisho Yako
 
Wakati mwingine tena leo sitaweza.

Unaweza Ukashiliki Ibada Mahali Pengine Popote Neno La Mungu Linapohubiliwa Na Mungu Atakubadili Kwani Kumcha Mungu Ni Chanzo Cha Maalifa
 
Back
Top Bottom