Neno la MUNGU kwa leo

Neno la MUNGU kwa leo

leo kwa mara ya kwanza nimepata tulizo la roho. Hivi hawa viongozi wetu wan Dini kweli. Asanteni mungu awabarikini wote
 
Nakushukuru angalau leo nimesoma mambo ya mungu na kujenga imani na tumaini jipya asante mungu akubariki sana
 
Aka ni ka utaratibu ni kazuri wapendwa.In fact,binafsi nimefurahi sana mkuu,na nakupongeza kuwa na mawazo ya namna hii.Saafi saaana.
 
Aka ni ka utaratibu ni kazuri wapendwa.In fact,binafsi nimefurahi sana mkuu,na nakupongeza kuwa na mawazo ya namna hii.Saafi saaana.

Amen tutaendelea kwa kwa msaada wa Mungu kwani yeye ndiye atuogozaye
 
Nakushukuru angalau leo nimesoma mambo ya mungu na kujenga imani na tumaini jipya asante mungu akubariki sana

Sifa na utukufu zimrudie yeye aliyetuumba maana ajua kutoka kwetu na kuingia kwetu endelea kusoma neno la mungu kwani lafaa sana
 
Somo :WARAKA. WA EBR 3:7 Kwa hiyo kama anenavyo Roho Mtakatifu ,Leo ,kamamtaisikia sauti yake ,8 msifanye. Migumu mioyo yenu). Tazama hili neno unaweza ukasoma ukaona halina maana lakini kwa jina la YESU akakufanye ulielewe na uchukue atua ya kubadilika amen
 
Back
Top Bottom