Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,702
- 36,124
Habari!
Mara nyingi utasikia watu au mtu akijitapa kuwa anaogopeka aidha kazini au mtaani kwake.
Iko hivi, kama unaogopeka na mtu yeyote jua kuwa haki haimo ndani yako. Ukiona nchi ina wananchi wanaowaogopa Askari basi jua kuwa hiyo nchi haina haki. Mume akiishi kwa kumwogopa mke wake basi jua kuwa hiyo nyumba haki imetoweka. Ukiogopwa na mke wako au watoto wako basi jua kuwa nyumba yako haina haki. Haki imetoweka.
Watumishi wakimwogopa boss wao jua kuwa hiyo ofisi haki imetoweka.
Note: Si jambo jema kuogopwa na mtu yeyote yule hapa duniani, awe fukara au tajiri, mtoto au mkubwa.
Mara nyingi utasikia watu au mtu akijitapa kuwa anaogopeka aidha kazini au mtaani kwake.
Iko hivi, kama unaogopeka na mtu yeyote jua kuwa haki haimo ndani yako. Ukiona nchi ina wananchi wanaowaogopa Askari basi jua kuwa hiyo nchi haina haki. Mume akiishi kwa kumwogopa mke wake basi jua kuwa hiyo nyumba haki imetoweka. Ukiogopwa na mke wako au watoto wako basi jua kuwa nyumba yako haina haki. Haki imetoweka.
Watumishi wakimwogopa boss wao jua kuwa hiyo ofisi haki imetoweka.
Note: Si jambo jema kuogopwa na mtu yeyote yule hapa duniani, awe fukara au tajiri, mtoto au mkubwa.