Neno la leo"enyi wazinzi........

Neno la leo"enyi wazinzi........

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,877
[h=5]NENO LA LEO: Yakobo 4:4 “Enyi wazinzi, hamjui ya kwamba kuwa rafiki wa dunia ni kuwa adui wa Mungu? Basi kila atakaye kuwa rafiki wa dunia hujifanya kuwa adui wa Mungu”

TAFAKARI: Kuna wakati mtu anafikiri anahitaji kufanya jambo fulani akubalike na ulimwengu. Chembe ya kutokujiamini hujiinua na kuona ni vyema afanye yale wengine wayafanyayo kwa kuwaridhisha wao. Tumwamini Mungu kwa maana yeye ndi...ye rafiki mkuu.

SALA: Bwana, nisamehe pale nilipochagua mambo ya dunia juu yako.Wewe umenifanyia mema sana mpaka nashindwa kuelewa kwanini naingia katika majaribu ya kufwata ya ulimwengu. Nisamehe Bwana,kwa kufuata vitu vya mpito wakati kwako wewe kuna utukufu mkuu. Naomba nirudishe kwako Bwana wangu, katika jina la Yesu Kristo naomba na kupokea, Amen.[/h]
 
mzinzi ni nani?
je mzinzi wa kiroho ama kimwili?
 
mzinzi ni nani?
Je mzinzi wa kiroho ama kimwili?

kila atendaye dhambi afanya uzinzi, kila afanyaye uasi afanya dhambi, adhabu ya dhambi ni mauti ya milele( moto wa milele)
 
na tutendee kazi tedo si kusikia tu
 
NENO LA LEO: Yakobo 4:4 “Enyi wazinzi, hamjui ya kwamba kuwa rafiki wa dunia ni kuwa adui wa Mungu? Basi kila atakaye kuwa rafiki wa dunia hujifanya kuwa adui wa Mungu”

TAFAKARI: Kuna wakati mtu anafikiri anahitaji kufanya jambo fulani akubalike na ulimwengu. Chembe ya kutokujiamini hujiinua na kuona ni vyema afanye yale wengine wayafanyayo kwa kuwaridhisha wao. Tumwamini Mungu kwa maana yeye ndi...ye rafiki mkuu.

SALA: Bwana, nisamehe pale nilipochagua mambo ya dunia juu yako.Wewe umenifanyia mema sana mpaka nashindwa kuelewa kwanini naingia katika majaribu ya kufwata ya ulimwengu. Nisamehe Bwana,kwa kufuata vitu vya mpito wakati kwako wewe kuna utukufu mkuu. Naomba nirudishe kwako Bwana wangu, katika jina la Yesu Kristo naomba na kupokea, Amen.

wewe neno hilo unalishika au unasema tu kwa maneno kumbe na wewe ni mwanachama.
 
NENO LA LEO: Yakobo 4:4 "Enyi wazinzi, hamjui ya kwamba kuwa rafiki wa dunia ni kuwa adui wa Mungu? Basi kila atakaye kuwa rafiki wa dunia hujifanya kuwa adui wa Mungu"

TAFAKARI: Kuna wakati mtu anafikiri anahitaji kufanya jambo fulani akubalike na ulimwengu. Chembe ya kutokujiamini hujiinua na kuona ni vyema afanye yale wengine wayafanyayo kwa kuwaridhisha wao. Tumwamini Mungu kwa maana yeye ndi...ye rafiki mkuu.

SALA: Bwana, nisamehe pale nilipochagua mambo ya dunia juu yako.Wewe umenifanyia mema sana mpaka nashindwa kuelewa kwanini naingia katika majaribu ya kufwata ya ulimwengu. Nisamehe Bwana,kwa kufuata vitu vya mpito wakati kwako wewe kuna utukufu mkuu. Naomba nirudishe kwako Bwana wangu, katika jina la Yesu Kristo naomba na kupokea, Amen.
Kazi uliyoifnya hapa alifanya sana Mch Danieli Mwasumbi hadi aliimba nyimbo na watu wakatubu kwa Machozi lakini leo amefungwa miaka 30 kwa kosa hilohilo la kufanya zinaa na mwanafunzi na kuzaa naye marambili!!!
Isue hapa unapo hubiri neno hili hakikisha kwamba unakaa katika neno hilo ama sivyo utakuwa kama mama Rwakatare ambaye anafundisha semina za ndoa wakati yeye mwenyewe hataki kukaa na mumewe!!!
 
Kazi uliyoifnya hapa alifanya sana Mch Danieli Mwasumbi hadi aliimba nyimbo na watu wakatubu kwa Machozi lakini leo amefungwa miaka 30 kwa kosa hilohilo la kufanya zinaa na mwanafunzi na kuzaa naye marambili!!!
Isue hapa unapo hubiri neno hili hakikisha kwamba unakaa katika neno hilo ama sivyo utakuwa kama mama Rwakatare ambaye anafundisha semina za ndoa wakati yeye mwenyewe hataki kukaa na mumewe!!!

Ukilisikia Neno la Mungu usilisukumie kwa wenzako, anzia kwako. Kama limekugusa tengeneza maisha yako achana na kuwataja wengine, achana na kuwanyooshea wengine vidole. Elewa kwamba kila mtu atalichukua furushi lake mwenyewe. Tengeneza mambo ya nyumba yako maana utakaufa wala hutapona. 2Waf 20:!.
 
Kazi uliyoifnya hapa alifanya sana Mch Danieli Mwasumbi hadi aliimba nyimbo na watu wakatubu kwa Machozi lakini leo amefungwa miaka 30 kwa kosa hilohilo la kufanya zinaa na mwanafunzi na kuzaa naye marambili!!!
Isue hapa unapo hubiri neno hili hakikisha kwamba unakaa katika neno hilo ama sivyo utakuwa kama mama Rwakatare ambaye anafundisha semina za ndoa wakati yeye mwenyewe hataki kukaa na mumewe!!!

Usiseme habari za wengine, wewe je?
 
Ubarikiwe sana kwa sala yako nzuri inayotukumbusha kutokuhangai



NENO LA LEO: Yakobo 4:4 “Enyi wazinzi, hamjui ya kwamba kuwa rafiki wa dunia ni kuwa adui wa Mungu? Basi kila atakaye kuwa rafiki wa dunia hujifanya kuwa adui wa Mungu”

TAFAKARI: Kuna wakati mtu anafikiri anahitaji kufanya jambo fulani akubalike na ulimwengu. Chembe ya kutokujiamini hujiinua na kuona ni vyema afanye yale wengine wayafanyayo kwa kuwaridhisha wao. Tumwamini Mungu kwa maana yeye ndi...ye rafiki mkuu.

SALA: Bwana, nisamehe pale nilipochagua mambo ya dunia juu yako.Wewe umenifanyia mema sana mpaka nashindwa kuelewa kwanini naingia katika majaribu ya kufwata ya ulimwengu. Nisamehe Bwana,kwa kufuata vitu vya mpito wakati kwako wewe kuna utukufu mkuu. Naomba nirudishe kwako Bwana wangu, katika jina la Yesu Kristo naomba na kupokea, Amen.
 
Ahsante kwa neno pdidy, ubarikiwe sana
Neno hili halitapita hivi hivi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom