kupiga deki -- kunafisha, unafishaji
kupiga mswaki -- kusawisha, ukoshaji au kukosha (meno)
kupiga kura -- kudahini, udainishaji
kupiga chafya -- hekemua
kupiga chapa -- kuhatini, kuhatisha, uhatishaji
kupiga mbizi -- kukauni, kauni (mbizi)
kupiga msasa -- kusaniwiri, usaniwirishaji
kupiga dili -- tafirisha, utafirishaji
kupiga hodi -- kubisha hodi, adihini, hodisha
kupiga domo -- bwabwaja