Nembo ya Taifa siielewi

Nembo ya Taifa siielewi

ishobo

Member
Joined
Jan 3, 2014
Posts
16
Reaction score
10
Wana jukwaa nawasalim.

Mwenye uelewa kuhusu sababu za mwanaume aliye kwenye nembo ya taifa KUVAA GAUNI naomba anijuze.

Linanipa taabu kidogo hili.
 
sio gauni lile ni lubega, na mwenye uelewa kuhusu mwanamke wa kwenye nembo ya taifa kuvaa hijabu naomba anijuze pia!
 
Umezaliwa mwaka gani?
images

Kama ni wa kizazi hiki subiri mkija kuandika katiba yenu muedit hii nembo mwanaume mumvishe hivi
kujichubua.jpg


 
Kwani shule ulisoma ya Primary Darsa la nne hamkuichambua nembo ya taifa?

Nyie ndio mliosema Diamond kapanda jukwaani na sketi,kufuatilia kumbe ni mavazi ya nchi fulani.
 
Back
Top Bottom