Neema ya CHADEMA yaingia Tunduma

Neema ya CHADEMA yaingia Tunduma

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
137,377
Reaction score
271,806
Viongozi wapya wa Halmashauri ya mji wa Tunduma maarufu kama ( chadema zone ) katika wilaya ya Momba mkoani Mbeya wameahidi kufanya mabadiliko makubwa ya miundo mbinu na mpangilio wa makazi katika mji huo ulio mpakani mwa Tanzania na Zambia ili kuufanya wa kisasa , jambo ambalo limeshindikana kwa zaidi ya miaka 54 tangu nchi hii imng'oe mkoloni !

Hayo yamebainishwa na mbunge wa eneo hilo Mh Frank Mwakajoka pamoja na Mstahiki Meya Mh Ally Mwafongo .

Tunawashukuru sana wanatunduma kwa kuiamini CHADEMA na hayo ndiyo matunda yake.In CHADEMA WE TRUST .
 
Amen. Watanzania jueni kuwa mapambano ya kumtoa jitu ccm yanaendelea, hamna jipya ndani ya ccm.
 
Amen. Watanzania jueni kuwa mapambano ya kumtoa jitu ccm yanaendelea, hamna jipya ndani ya ccm.
Hasa ikizingatiwa kitu alichofanya JPM jana cha kutuletea old wine in a new bottle.
Hakika kutegemea mabadiliko ndani ya mfumo wa CCM walioishiwa pumzi, ni sawa sawa na kutegemea umpenyeze ngamia kwenye tundu la sindano!
 
Safi kama itatekelezwa.

Hivyo ndivyo tunavyotaka
 
Yaani bado wanaahidi!!!

Wakumbushe kuwa huu ni muda wa kazi sio wa ahadi...
 
Yaani bado wanaahidi!!!

Wakumbushe kuwa huu ni muda wa kazi sio wa ahadi...
Mkuu nakuunga mkono, unajua kuna watu bado hawajafanya uchaguzi ndo kwanza wanatoa ahadi kwenye kampeni. Amkeni nyie mbulula uchaguzi ulishapita "SASA NI KAZI TU"! Inawezekana hawajui kama mawaziri wameshateuliwa!!
 
Hasa ikizingatiwa kitu alichofanya JPM jana cha kutuletea old wine in a new bottle.
Hakika kutegemea mabadiliko ndani ya mfumo wa CCM walioishiwa pumzi, ni sawa sawa na kutegemea umpenyeze ngamia kwenye tundu la sindano!

Kwa hiyo una maana kwamba Lowassa huko CHADEMA ni new wine kwenye new bottle?
 
Hasa ikizingatiwa kitu alichofanya JPM jana cha kutuletea old wine in a new bottle.
Hakika kutegemea mabadiliko ndani ya mfumo wa CCM walioishiwa pumzi, ni sawa sawa na kutegemea umpenyeze ngamia kwenye tundu la sindano!
wachunguzi wa mambo ya serikali wamesema baraza hili ndilo lenye kutia shaka kuliko mabaraza yote yaliyowahi kuteuliwa katika nchi hii .
 
Mkuu nakuunga mkono, unajua kuna watu bado hawajafanya uchaguzi ndo kwanza wanatoa ahadi kwenye kampeni. Amkeni nyie mbulula uchaguzi ulishapita "SASA NI KAZI TU"! Inawezekana hawajui kama mawaziri wameshateuliwa!!

baraza jipya limefuta hicho kitu kinachoitwa ' hapa kazi tu ' hata wewe unafahamu bali unajificha nyuma ya computer , jitokeze hakuna anayekujua na hiyo ID yako feki .
 
wajenge hospitali. haiwezekani mji wa watu 100,000 wategemee health centre! au kilichapanda hadhi? na maji pia.
 
Hasa ikizingatiwa kitu alichofanya JPM jana cha kutuletea old wine in a new bottle.
Hakika kutegemea mabadiliko ndani ya mfumo wa CCM walioishiwa pumzi, ni sawa sawa na kutegemea umpenyeze ngamia kwenye tundu la sindano!

Na CHADEMA walileta dirty wine & coloured bottle (Lowassa)
 
Back
Top Bottom