Viongozi wapya wa Halmashauri ya mji wa Tunduma maarufu kama ( chadema zone ) katika wilaya ya Momba mkoani Mbeya wameahidi kufanya mabadiliko makubwa ya miundo mbinu na mpangilio wa makazi katika mji huo ulio mpakani mwa Tanzania na Zambia ili kuufanya wa kisasa , jambo ambalo limeshindikana kwa zaidi ya miaka 54 tangu nchi hii imng'oe mkoloni !
Hayo yamebainishwa na mbunge wa eneo hilo Mh Frank Mwakajoka pamoja na Mstahiki Meya Mh Ally Mwafongo .
Tunawashukuru sana wanatunduma kwa kuiamini CHADEMA na hayo ndiyo matunda yake.In CHADEMA WE TRUST .
Nyumbu akiwa kazini!.