UNgesubiri hao wenye tarifa kamili waje watoe siyo ukurupuke ili uonekane wa kwanza ku post
Veta au third selection zikitokaMtoto akipata average ya C ataenda secondari? Au ndio imekula kwake?
C? Mbona kafaulu sanaMtoto akipata average ya C ataenda secondari? Au ndio imekula kwake?
Mi naomba kuuliza mbona huwa hawatangazi selection za kwenda sekondary? Au huwa inakuwaje?C? Mbona kafaulu sana
Cc:Nkamiachemba kondoa yashakai mkia hahahaha atal kweli wale wez # walikuwa na lengo nzuri haya
Shule ya kata inamuhusuMtoto akipata average ya C ataenda secondari? Au ndio imekula kwake?
Hivi kweli wanafaulu au wanafaulishwa.Kuna shemeji ako kamaliza darasa la saba.natumaini atakuwa kafaulu
Anaenda KwelJaman nauliza Grade C anaenda kweli secondary
Hujui chochote kuhusu kufunga maswali au ulifundishwa na walimu hawajui kutunga multiple choice. Hakuna maswali magumu kama multiple choice kama yametungwa na mtaalamuHapo lazima watusue yani mtihani full machagulio ebu fikilia mtoto anapewa swali hili
Raisi wa kwanza wa tanganyika alikua ni nyere_______
A: ra
B: re
C: ri
D: ro