Mitihani ya kidato cha pili imemalizika ijumaa huku wasimamizi wa mitihani hiyo ambao ni walimu wakishindwa kulipwa kiasi cha shillingi elfu thelathini 30,000 /= kwa siku.. Badala yake walilipwa nusu ya kiwango hicho na kuombwa subira bila kuelezwa ni lini watalipwa. Wiki moja imepita kimya. "hii serikali ni ya ajabu sana hata malipo yetu halali hawataki kulipa, increment ni haki yangu ya mkataba wangu wa kazi sijalipwa, daraja sipandishwi huku usumbufu wa uhakiki usioisha afu unataka nifundishe? Wacha nikaendeshe bodaboda yangu". Alisikikika mwalimu mmoja wa shule ya sekondari mwinyi. (Jina limehifadhiwa). Haya sasa ndalichako kuja huku isije kuwa jamaa wamezipiga ktk fixed account.