NECTA/UTUMISHI toeni majibu ya uhakiki wa pili wa Vyeti ili serikali au wafanyakazi waaibike.

COARTEM

JF-Expert Member
Nov 26, 2013
3,598
3,644
Leo tarehe 17/5/2017 majibu ya watu waliokata RUFAA kwenye kundi la Kugushi mbona hamyatoi?
Wale mliowaita wana vyeti vyenye UTATA mbona hamtoi majibu ili hali wahusika wamewasilisha vyeti vyao Original? Tena kundi hili mliwaambia wawasilishe vyeti original kabla ya tarehe 15/5/2017.
Wale pia wa INCOMPLETE mbona hamtoi majibu?....
Toeni majibu ili tuone nani atakayeaibika kwenye hili sakata kati ya Serikali na Watumishi kwenye makundi hayo.
 
Leo tarehe 17/5/2017 majibu ya watu waliokata RUFAA kwenye kundi la Kugushi mbona hamyatoi?
Wale mliowaita wana vyeti vyenye UTATA mbona hamtoi majibu ili hali wahusika wamewasilisha vyeti vyao Original? Tena kundi hili mliwaambia wawasilishe vyeti original kabla ya tarehe 15/5/2017.
Wale pia wa INCOMPLETE mbona hamtoi majibu?....
Toeni majibu ili tuone nani atakayeaibika kwenye hili sakata kati ya Serikali na Watumishi kwenye makundi hayo.

:) watato tu, lakini pia tukumbuke kuwa unapoona maji yanazunguka jua kuna kashimo huenda
 
Hii sarakasi itaendelea kwa muda ili serikali ipate sababu ya kutotimiza wajibu wake wa Kuwalipa watumishi wa umma stahiki zao.
100% true, walikurupuka.
Sasa nahisi wanaona aibu kusema kuwa mambo yamewaendea mrama. Watoe tu report ili umma wa watanzania ujue ukweli.
 
100% true, walikurupuka.
Sasa nahisi wanaona aibu kusema kuwa mambo yamewaendea mrama. Watoe tu report ili umma wa watanzania ujue ukweli.
No, Prof. Ndalichako jana bungeni,aliposimamisha kazi maafisa 2 wa TIE, kuhusu vitabu feki alisema. "Tumeondoa wafanyakazi vyeti feki 9000,sembuse hawa 2". That means,the same figure is still updated! It's likely the refferals have been redunded!
 
No, Prof. Ndalichako jana bungeni,aliposimamisha kazi maafisa 2 wa TIE, kuhusu vitabu feki alisema. "Tumeondoa wafanyakazi vyeti feki 9000,sembuse hawa 2". That means,the same figure is still updated! It's likely the refferals have been redunded!
Mmhhhh....yetu macho na masikio, taarifa za chini ya Carpet wengi waliokata RUFAA kwenye kundi la KUGUSHI wamekuwa cleared.
 
Kwa nnavyoijua hii nchi..kwanza pesa hakuna kwahiyo imepata sababu ya kubana matumizi na kujipatia pesa za kujenga airport na treni ..
imagine mishahara yote iliyositishwa ni mabilioni..
Wakaona watoe ridandasi la lazima hahahhhahahahaaahhahha
Majibu yatatoka january 2020.
 
That is not true! Wenye vyeti feki wanna vyeti feki kweli...ninao wafahamu mimi wameshahama miji Yao wakisingizia wameonewa na serikali ile kazi imefanyika kwa ustadi mzuri sana na wataalamu wa kutosha.
Yawezekana ni kweli. Kuna mtumishi kapanga nyumba ya jirani yetu jina lake lilitoka. Kalalamika usiku kucha,hawakulala. Kaenda Dar kukata rufaa. Baada ya siku 2 kawapigia simu,karudishwa kazini! Leo wiki ya 2 hajaonekana,kasepa kiaina baadhi kawaambia ameamua kuhama eti serikali imemtia doa karudi kwao.!
 
Ninauhakika asilimia zote wale woote waliokata rufaa hakuna alie clear hata mmoja nikufa kwamaji kutapatapa tu,kwasabu wapo ninaowajua kweli nilasaba ilawameenda kwakutapeliwa kuwa wakifika kule watakuta vyeti vyao vimeshafixiwa kwenye mashine nawengine waliediti matokeo baada yakivumbi kutokea wamekimbilia baraza navile vyeti vyao vya halali wakijipa moyo watapata upenyo wakujitetea so hakuna hata mmoja ataepona idadi niileile ndugu zangu naserikali ikiamua kuwageuzia ubao wale waliokimbilia baraza kwadata za uongo itafunga woteespecial wale wenye utata maana waliambiwa mwenye jinakamili akajisalimishe nabaadhi yawale incomplete japo najua incomplete nao wengi wataliwa vichwa kwauongo
 
Leo tarehe 17/5/2017 majibu ya watu waliokata RUFAA kwenye kundi la Kugushi mbona hamyatoi?
Wale mliowaita wana vyeti vyenye UTATA mbona hamtoi majibu ili hali wahusika wamewasilisha vyeti vyao Original? Tena kundi hili mliwaambia wawasilishe vyeti original kabla ya tarehe 15/5/2017.
Wale pia wa INCOMPLETE mbona hamtoi majibu?....
Toeni majibu ili tuone nani atakayeaibika kwenye hili sakata kati ya Serikali na Watumishi kwenye makundi hayo.
Wanavuta muda ili watu wasipande vyeo pamoja na kuajiri wapya.
 
Ninauhakika asilimia zote wale woote waliokata rufaa hakuna alie clear hata mmoja nikufa kwamaji kutapatapa tu,kwasabu wapo ninaowajua kweli nilasaba ilawameenda kwakutapeliwa kuwa wakifika kule watakuta vyeti vyao vimeshafixiwa kwenye mashine nawengine waliediti matokeo baada yakivumbi kutokea wamekimbilia baraza navile vyeti vyao vya halali wakijipa moyo watapata upenyo wakujitetea so hakuna hata mmoja ataepona idadi niileile ndugu zangu naserikali ikiamua kuwageuzia ubao wale waliokimbilia baraza kwadata za uongo itafunga woteespecial wale wenye utata maana waliambiwa mwenye jinakamili akajisalimishe nabaadhi yawale incomplete japo najua incomplete nao wengi wataliwa vichwa kwauongo
We mwongo sana labda kuwe na namna dhidi yao. Mimi kuna jamaa tulisoma nae na kwenye mtihani wake wa form four alifanya vizuri kuliko mimi na kuendelea na masomo eti leo hii inasemekana ana cheti feki cha f4 ??? kweli hiyo imenifanya nifikiri zaidi kuhusu zoezi hili.
 
Back
Top Bottom