b191
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 742
- 1,031
Amani na Upendo viwe nanyi nyote.
Jana BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA lilitangaza matokeo ya KIDATO CHA PILI 2016 na kuonyesha ufaulu umeongezeka kwa 2% ya ule wa Mwaka Juzi 2015.
Naomba nianze kwa ufafanuzi kidogo.
ALAMA MPYA ZA UFAULU.
A = 75-100 > ALAMA 1
B = 65-74 > ALAMA 2
C = 45-64 > ALAMA 3
D = 30-44 > ALAMA 4
F = 00-29 > ALAMA 5
DIVISION POINT
I 7 - 17
II 18 - 21
III 22 - 25
IV 26 - 33
0 34 - 35
Mfano:
Mwanafunzi anayeitwa: KILAZA MKUBWA amepata alama zifuatazo;
SOMO ALAMA GRADE
CIVICS 30 D = 4
HISTORY 30 D = 4
GEOGRAPHY 30 D = 4
KISWAHILI 45 C = 3
ENGLISH 40 D = 4
PHYSICS 20 F = 5
CHEMISTRY 20 F = 5
BIOLOGY 15 F = 5
B/MATH 11 F = 5
>KWA NJIA YA WASTANI.
JUMLA YA ALAMA NI 241
GAWANYA KWA MASOMO 9
WASTANI 26.7..
• KWA KUTUMIA WASTANI HUYU MWANAFUNZI AMEFELI (WASTANI WA KUFAULU NI 30)
>KWA NJIA YA DIVISION
POINT = 29 (YANAHESABIWA MASOMO 7 ALIYO FAULU VIZURI ZAIDI)
DIVISION = IV
• KWA KUTUMIA MFUMO HUU HUYU MWANAFUNZI AMEFAULU (KWA SABABU HAJAPATA DIVISION ZERO)
NECTA wametumia mfumo wa POINTS na DIVISION kutoa Matokeo ya Kidato Cha Pili badala ya mfumo wa WASTANI uliozoeleka ili kuongeza Asilimia ya Waliofaulu.
Ungetumika mfumo wa Wastani uhalisia ungejidhihirisha.
TAZAMA MFANO PALE JUU kama mwanafunzi mwenye POINTS 29 na DIVISION IV ambaye amefaulu. Lakini kwa kutumia mfumo wa Wastani anaonekana amefeli. Je mwenye POINTS 30, 31, 32 na 33 hali ikoje?
Ninachojiuliza, Je NECTA imeamua kuficha ukweli wa ufaulu wa Kidato Cha Pili kwa kuamua kutumia mfumo wa DIVISION na siyo WASTANI?
Nawasilisha.
Jana BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA lilitangaza matokeo ya KIDATO CHA PILI 2016 na kuonyesha ufaulu umeongezeka kwa 2% ya ule wa Mwaka Juzi 2015.
Naomba nianze kwa ufafanuzi kidogo.
ALAMA MPYA ZA UFAULU.
A = 75-100 > ALAMA 1
B = 65-74 > ALAMA 2
C = 45-64 > ALAMA 3
D = 30-44 > ALAMA 4
F = 00-29 > ALAMA 5
DIVISION POINT
I 7 - 17
II 18 - 21
III 22 - 25
IV 26 - 33
0 34 - 35
Mfano:
Mwanafunzi anayeitwa: KILAZA MKUBWA amepata alama zifuatazo;
SOMO ALAMA GRADE
CIVICS 30 D = 4
HISTORY 30 D = 4
GEOGRAPHY 30 D = 4
KISWAHILI 45 C = 3
ENGLISH 40 D = 4
PHYSICS 20 F = 5
CHEMISTRY 20 F = 5
BIOLOGY 15 F = 5
B/MATH 11 F = 5
>KWA NJIA YA WASTANI.
JUMLA YA ALAMA NI 241
GAWANYA KWA MASOMO 9
WASTANI 26.7..
• KWA KUTUMIA WASTANI HUYU MWANAFUNZI AMEFELI (WASTANI WA KUFAULU NI 30)
>KWA NJIA YA DIVISION
POINT = 29 (YANAHESABIWA MASOMO 7 ALIYO FAULU VIZURI ZAIDI)
DIVISION = IV
• KWA KUTUMIA MFUMO HUU HUYU MWANAFUNZI AMEFAULU (KWA SABABU HAJAPATA DIVISION ZERO)
NECTA wametumia mfumo wa POINTS na DIVISION kutoa Matokeo ya Kidato Cha Pili badala ya mfumo wa WASTANI uliozoeleka ili kuongeza Asilimia ya Waliofaulu.
Ungetumika mfumo wa Wastani uhalisia ungejidhihirisha.
TAZAMA MFANO PALE JUU kama mwanafunzi mwenye POINTS 29 na DIVISION IV ambaye amefaulu. Lakini kwa kutumia mfumo wa Wastani anaonekana amefeli. Je mwenye POINTS 30, 31, 32 na 33 hali ikoje?
Ninachojiuliza, Je NECTA imeamua kuficha ukweli wa ufaulu wa Kidato Cha Pili kwa kuamua kutumia mfumo wa DIVISION na siyo WASTANI?
Nawasilisha.