zilezile tu ila Sasa unatakiwa kutoa mifano na maelezo Kwa sensa ya 2012.
Mifano
1.Sex ratio imekaaje, jinsia gan imezid
2.Mortality rate.
3.Age ratio. Idadi ya watoto vijana na wazee ipoje, dependent ratio usisahau kugusia
4.Population density hapa unaelezea unevenly distributed maeneo gan watuu wamejaa na yap wapo wachache
Ila vijana wa siku hizi hamsomi aisee, Mimi nimemaliza six 2007 ila nakumbuka vitu kimtindo. Mbona DT msabila ameandika vizuri characteristics of population. Sasa mnataka nani aipitie hiyo ripoti ya sensa 2012. Points ni zilezile ila unaelezea Kwa context ya sensa 2012