mzee wa mawe
Senior Member
- Aug 2, 2011
- 151
- 15
Tume ya taifa ya uchaguzi(NEC), imepanga october 2, mwaka huu kuwa siku ya uchaguzi mdogo wa ubunge, jimbo la i.gunga. msimamizi wa uchaguzi huo protace magayane, alisema fomu za uteuzi wa wagombea wa vyama vyote, zitatolewa kuanzia Agosti 24 hadi septemba 6, mwaka huu. kuanzia septemba 6 itakuwa ni uteuzi wa wagombea. uteuzi huo utaendelea hadi tarehe 7 siku ambayo pia imepangwa kupokea pingamizi, alisema. kwa mujibu ya msimamizi huyo, kampeni zitaanza semptemba 7 hadi october mosi, mwaka huu Alisema kuanzia septemba 7 hadi octoba mosi, mwaka huu itakuwa ni kampeni kwa wagombea kwa vyama vyote vyenye wagombea. magayane alisema uchaguzi utafanyika octoba 2 na kwamba, tarehe 3 na 4 zitakuwa siku za kujumlisha matokeo na kvangaza mshindi. uchaguzi huo unafanyika kuziba pengo liloachwa wazi na aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, Rostam Aziz.