Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,010
- 9,875
Katika Uteuzi wa wabunge na madiwani uliokamilika Agosti 26, 2020 wabunge kadhaa waliwekewa mapingamizi hali iliyofanya baadhi ya majimbo kuwa na wagombea wa chama kimoja tu
Agosti 28, Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilitangaza majimbo 18 ambayo wagombea wake wamepita bila kupingwa kutokana na sababu mbalimbali kwa kuzingatia Sheria ya Taifa ya Uchaguzi
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage amesema hadi sasa tume hiyo imepokea rufaa 557 za mapingamizi katika upande wa udiwani na ubunge
Rufaa hizo zimeanza kufanyiwa kazi kuanzia Septemba 01, 2020 kwa kuzingatia sheria na kanuni zilizopo
#JFLeo #JamiiForums #Uchaguzi2020 #TZ2020
Agosti 28, Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilitangaza majimbo 18 ambayo wagombea wake wamepita bila kupingwa kutokana na sababu mbalimbali kwa kuzingatia Sheria ya Taifa ya Uchaguzi
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage amesema hadi sasa tume hiyo imepokea rufaa 557 za mapingamizi katika upande wa udiwani na ubunge
Rufaa hizo zimeanza kufanyiwa kazi kuanzia Septemba 01, 2020 kwa kuzingatia sheria na kanuni zilizopo
#JFLeo #JamiiForums #Uchaguzi2020 #TZ2020