Acheni hii tabia yenu ya kuaminisha watu ya kuwa kura zitaibiwa/zimeibiwa kwani ndio zenu ila uhalisia wa kampeni zinavyoenda inaonekana dhahiri jawabu lake
Bro this is nondemoctratic country.. tume haiko huru unategemea kutakuwepo na fair election kweli?
Nyimbo zao na mashairi na swaga zao ndivyo zinavyopungua kwenye vijiwe vyombo vya usafiri ktk shughuli mbalmbali maongezi ni hapa kazi magufuli anatisha wakitahamaki 25 oktoba hii hapa
Time ya ccm itende haki sins imani!
Simuamini Lubuva wala NEC. Wote lao moja.
Yaani katika comments zoote we jamaa uliona yangu ndio ina makosa na kuamua kutokwa povuu kwa kutetea upuuzi tunaouona kwenye uchaguz? mimi kuinyooshea kidole NEC kwa kuendesha uchaguzi kimashaka mshaka ni kosa? kwa hiyo kwa sababu wapinzani walikiuka misingi ya kidemokrasia kwenye uteuzi wa wagombea basi ndio hawastahili kulalamika pale wanapo ona kuna kila dalili ya unfairness kweny uchaguzi unaosimamiwa NEC? acha ubwege wewe kama mi ntakuwa lofa wewe ni deputy wa malofa baada ya yule alietoa hiyo kauli na vikaragosi kama nyie ndio mkafuata.Kwanini mnataka demokrasia sasa kwenye uchaguzi na huku mnatambua kwamba nchi yetu si ya kidemokrasia? na ndo maana tunawaita malofa kwasababu mnadai ambacho hakipo na nyie mnalitambua hilo ila mnatumia hira zenu kuwalaghai watu, kama mlitaka demokrasia tungewaelewa kidogo kama hata nyie mngeonesha kwamba mnaiheshimu demokrasia kwa kufanya uteuzi wa wagombea wenu kidemokrasia, tumeona mlivyoingiza watu kwa misingi ya kauli za wenye chama na bado tunaona mnavyoshindwa kuheshimu makubaliano yenu huko ukawa eti leo mnakuja kuinyooshea kidole NEC, kwani nyinyi ndo mko democratic?