Ndugu zangu wanasimba wanaaibisha Taifa

No masuala ya msimu huwezi kuwa bora muda wote.

Najua wamezoea kufika robo lakini sioni wakifika hapo ,klabu nyingi kwasasa zinawekeza hakuna janja janja kununua wachezaji wa bei rahisi.

Kwa stahili hii bado yanga ataendeleq kuwa mbabe kila Derby
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…