hiyo wasukuma tunaita kura za huruma,,,,,,,:wink::wink::wink::wink::wink: ,,huu mwaka kuna wau waawambia jamani mi nina mvi ningi mniombee maana hajawahi chaguliwa rais mwenye mvi
TataMadiba hadithi hadithi..urongo njoo...kama unazo kadi zote milioni 24 za kura basi mgombea wako atashinda, lakini kama sisi wapumbavu na malofa katika ubora wetu tunazo kadi zetu...tarajia mabadiliko na huenda ukawa wa kwanza kupata presha. tanzania bila ccm inawezekana oktoba 25