Songea is unforgotten city, Kuanzia makumbusho-Makaburi ya Nduna Songea, Nkosi Mbonane, wadada warembo na watamu, samaki watamu na wenye virutubisho (mbelele, masangarafu, sipa), fukwe nzuri (mbamba bay), Ngoma ambayo ilimtoa ushamba Mjaluo Obama (Mganda), Kioda kilimchengua Malia na Mama yake Michele, bahati mbaya hakuoneshwa Chomanga, Ligambusa, Kingwangwa, na Lipuga-kama unapenda majambo haya basi utalowea. Misosi ndo mpango mzima-Lidelele, pitiku, mayenje, makululu, ngowani, lineke, mawungu, Likungu na much more to taste there! Hutajutia mtani, Karibu sana mtani,
CC
platozoom,
charminglady,
The Boss,
Mtambuzi,
AshaDii,
ladyfurahia,
Wiyelele,
Maboso,
Ngalikihinja,
Dark City,
Fixed Point,
snowhite,
Kipipi,
saudari,
EMT,
Bujibuji,
Boflo,
Nicas Mtei