Hammer11
JF-Expert Member
- Feb 18, 2024
- 2,029
- 2,657
Ndugu zangu waislamu mimi nakata munijibu hilo swali maana nimeuliza mashekhe wameishia kusema Mungu anajuaaa tyuu waislamu wa kiume wakifa wakiwa wema wanapewa wanawake bikra 72 na mito ya asali maziwa
Sasa jee wanawake wakifa wema watapewa nini huko peponi na kama hawatapewa hivyoo sasa dini ishawapendelewa wanaume nieleze hapoo?
Sasa jee wanawake wakifa wema watapewa nini huko peponi na kama hawatapewa hivyoo sasa dini ishawapendelewa wanaume nieleze hapoo?