Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Dada yangu anasumbuliwa na kifua na tatizo la kupumua. Kifua kikimbana anapumua kwa shida, na anakuwa anatupatupa mikono kama vile anakata roho. Mwanzo tulidhani ni PUMU lakini hospitalini walisema hana tatizo hilo, anapewa tu dawa za kifua. Tatizo hili huwa linajirudia mara kwa mara....
Naomba msaada wa kujua ni tatizo gani na sehemu tunayoweza kupata madaktari bingwa wa hili tatizo.
Naomba msaada wa kujua ni tatizo gani na sehemu tunayoweza kupata madaktari bingwa wa hili tatizo.