Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,689
- 106,812
Salute Comrades
Habari za muda wanandugu.
Person Details
Name: Da'Vinci
Sex: Male
Marital status: Single
Location: Western Tanzania (Lake zone)
Nationality: Tanzanian
Age: 28yrs
Education: Information Technology
Habari wakuu mimi ni kijana kama nilivyojieleza hapo juu, niko mbele yenu natafuta kazi/ajira yoyote halali..
Elimu yangu ni form 4 lakini nimejifunza vitu vingi pia nimesoma Kozi ya Computer (Basic Computer Application/ms word,excel,publish,Internet, etc)
Nina uzoefu na ninaweza kufanya kazi kama vile..
Mbali na elimu yangu hiyo ya form four
Nimesoma soma pia mambo ya..
Hobby yangu ni..
NB2. Mimi Da'Vinci ndie naomba ajira, am a worker with integrity. Mwaminifu,Mpole,God believer. Najua jinsi ya kuongeza thamani kazi yangu.
Mwisho kabisa napenda niwashukuru woooote mliosoma bandiko hili. Kama utanihitaji niambie niku Pm au uni Pm
Sichagu Kazi !!!!!!!!!
Thanks
Tchao
-Da'Vinci
Habari za muda wanandugu.
Person Details
Name: Da'Vinci
Sex: Male
Marital status: Single
Location: Western Tanzania (Lake zone)
Nationality: Tanzanian
Age: 28yrs
Education: Information Technology
Habari wakuu mimi ni kijana kama nilivyojieleza hapo juu, niko mbele yenu natafuta kazi/ajira yoyote halali..
Elimu yangu ni form 4 lakini nimejifunza vitu vingi pia nimesoma Kozi ya Computer (Basic Computer Application/ms word,excel,publish,Internet, etc)
Nina uzoefu na ninaweza kufanya kazi kama vile..
- Stationary
- Office Assistance
- Store keeping
- Kuza duka rejareja na jumla
- Secretary
- Supermarket
- Maduka ya mavazi
- Na kazi zingine zozotee
Mbali na elimu yangu hiyo ya form four
Nimesoma soma pia mambo ya..
- Psychology
- Philosophy
- Theology
- Spiritual awakening
- Kinyarwanda
- Kirundi
- Deutsche/Kijeremani
- Kiitaliano
- Kihispania
- Na lugha mbalimbali za makabila ya ukanda wa ziwa.
Hobby yangu ni..
- Kuangali muvi
- Kusoma vitabu
- Kusikiliza muziki na kuimba Gospel
NB2. Mimi Da'Vinci ndie naomba ajira, am a worker with integrity. Mwaminifu,Mpole,God believer. Najua jinsi ya kuongeza thamani kazi yangu.
Mwisho kabisa napenda niwashukuru woooote mliosoma bandiko hili. Kama utanihitaji niambie niku Pm au uni Pm
Sichagu Kazi !!!!!!!!!
Thanks
Tchao
-Da'Vinci