Jamani, hata ukimchukia sungura wakati mwingine inabidi ukubali kwamba anaweza kukimbia!!! Na mimi pia nimeipitia website yake na sidhani kama mnamtendea haki mnapomponda hivo. Website imetulia, ukiacha typos kidogo sana. Na amesema it is still work in progress na kwamba version ya kiswahili iko mbioni. I am not his fan na wala si mwana CCM lakini inatubidi vijana tufike mahali tutambue kujituma kwa wenzetu hata kama tumepishana kiitikadi. Kijana amejitahidi, tumpongeze na inapobidi tumuunge mkono. Maana ya upinzani siyo kupinga tu hata mazuri.