Ndugai amsifia MWIGULU

Ndugai amsifia MWIGULU

Nchi, jimbo, kata etc inapokuwa na kiongozi mdhaifu, mbovu, mjinga etc kipimo cha ujinga, udhaifu, ubovu etc ni kwa (wananchi) waliomchagua! Vivyo hivyo kwa Bunge letu la JMT. Kipimo cha udhaifu, ujinga, ubovu ni WABUNGE waliochagua NAIBU/SPIKA wabovu. Hivyo binafsi sishangai.
 
Si unajua akili zao zinafanana hao??ndio maana darasa la vilaza halina msimamizi mtihani wanafanya kwa kutazamiana na hakuna atakayemvusha mwenzake!!!!!!!!!
 
Naibu spika mhe Job Ndugai amemsifia Mbunge wa Iramba baada ya swali lake na KUSEMA SWALI ZURI NA KUSEMA AMA KWELI IRAMBA MNA MBUNGE MAHIRI. Ukweli utabaki palepale hata wenye wivu wakipotosha.

Ni boss wake katika chama.
 
Mwigulu ni NAIBU KATIBU MKUU Tanganyika hivo ni mkuu wake Ndugai katika chama, sishangai hilo.
 
Bunge la 2010-2015 litakuwa katika historia ,kupitia viongozi wake!!! Ila jua kila kitu kina mwisho wake na ni vema tukiacha legacy nzuri kwa jamii na wale wanaotuzunguka bila kujali itikadi zao.
 
Naibu spika mhe Job Ndugai amemsifia Mbunge wa Iramba baada ya swali lake na KUSEMA SWALI ZURI NA KUSEMA AMA KWELI IRAMBA MNA MBUNGE MAHIRI. Ukweli utabaki palepale hata wenye wivu wakipotosha.

swali gani alilouliza?
 
sasa Hapo ni sifa au ndo kamdhalilisha.... Ndungai mwenyewe CHIZI na UMMA wa watanzania unajua hilo sasa Chizi akiona chakula kwa jalala anajua bora kwa hiyo Mwigulu Hafai... Mi kweli nimeamini CCM imechizi mbona mnaua chama bila huruma nyie mmeahidiwa nini na upinzani nyie kina Ndungai na Makinda au nyie ndo CCJ maana mambo mnayoongea na kuyafanya kwa watanzania wa siku hizi wa digitali yatai cost CCM vibaya mnoooo...
 
Bila kusahau mwigulu domokaya ni bosi wa ndugai kwny chama,anataka ufull bosi next bunge,lazima ajipendekeze,hata naniino anaweza akampa!
 
Naibu spika mhe Job Ndugai amemsifia Mbunge wa Iramba baada ya swali lake na KUSEMA SWALI ZURI NA KUSEMA AMA KWELI IRAMBA MNA MBUNGE MAHIRI. Ukweli utabaki palepale hata wenye wivu wakipotosha.

Mwigulu nawe, umeamua kujirusha mwenyewe?
 
Anamsifia ili asije akatembea na mke wake....lazima ajihami bana..
Chezea Nchemba wewe
 
mimi sijaelewa, amemsifia kwa lipi?
Punga limemsifu Mwigulu akili mkichwa ni ngezungumzia zaidi juu ya herufi tatu za naibu spika lakini kuna mods ananipiga bani sielewe kosa ni nini?
 
Naibu Spika naye yuko kwenye orodha ya majanga ya kitaifa. Wakiwa kwenye orodha moja kuna kila sababu ya kupeana sifa. Msituondoe kwenye mada watanzania wanahitaji kutatuliwa kero sio sifa zisizokuwa na mashiko. Na bado kadri muda unavyokwenda nivyo wanavyohemuka na kuweweseka. Nguvu ya Umma ndio muamuzi.
 
Mimi sijui uhusiano wa job na nchemba ila nchemba ni mbunge mzuri kihoja anafanana na zito kihoja.
 
Naibu spika mhe Job Ndugai amemsifia Mbunge wa Iramba baada ya swali lake na KUSEMA SWALI ZURI NA KUSEMA AMA KWELI IRAMBA MNA MBUNGE MAHIRI. Ukweli utabaki palepale hata wenye wivu wakipotosha.
Hahahahaha! so what?
 
Watu wenye akili zao timamu huwa hawatukani kwenye social media kama hivi, humu ndani ni kujenga hoja unaonyesha mapungufuya upande mmoja na pia kuonyesha na kutetera hoja, binafsi sipendi matusi yaelekezwe upande wowote tujenge hoja ndugu zangu humu ndani si pa kupeana mipasho kama ye kwenye taarabu kama huna ushahidi wa kutosha you better stay quite@all users
 
Naibu spika mhe Job Ndugai amemsifia Mbunge wa Iramba baada ya swali lake na KUSEMA SWALI ZURI NA KUSEMA AMA KWELI IRAMBA MNA MBUNGE MAHIRI. Ukweli utabaki palepale hata wenye wivu wakipotosha.

Hakika waacheni wafu wazikane wenyewe!?
 
Back
Top Bottom