mopaomokonzi
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 307
- 28
Naibu spika mhe Job Ndugai amemsifia Mbunge wa Iramba baada ya swali lake na KUSEMA SWALI ZURI NA KUSEMA AMA KWELI IRAMBA MNA MBUNGE MAHIRI. Ukweli utabaki palepale hata wenye wivu wakipotosha.
Naibu spika mhe Job Ndugai amemsifia Mbunge wa Iramba baada ya swali lake na KUSEMA SWALI ZURI NA KUSEMA AMA KWELI IRAMBA MNA MBUNGE MAHIRI. Ukweli utabaki palepale hata wenye wivu wakipotosha
Ndege wa aina moja huruka pamoja.Naibu spika mhe Job Ndugai amemsifia Mbunge wa Iramba baada ya swali lake na KUSEMA SWALI ZURI NA KUSEMA AMA KWELI IRAMBA MNA MBUNGE MAHIRI. Ukweli utabaki palepale hata wenye wivu wakipotosha.
Naibu spika mhe Job Ndugai amemsifia Mbunge wa Iramba baada ya swali lake na KUSEMA SWALI ZURI NA KUSEMA AMA KWELI IRAMBA MNA MBUNGE MAHIRI. Ukweli utabaki palepale hata wenye wivu wakipotosha.
Nami nimemsikia huyo ******, kupitia kituo cha TV cha TBCCM, akimpongeza sana Mwigulu, eti kauliza swali zuri sana kuhusu ubovu wa barabara wa Sheluwi, mkoani Singida, na akatamka LIVE, eti watu wa Iramba magharibi wamepata mbunge makini!!mimi sijaelewa, amemsifia kwa lipi?
Naibu spika mhe Job Ndugai amemsifia Mbunge wa Iramba baada ya swali lake na KUSEMA SWALI ZURI NA KUSEMA AMA KWELI IRAMBA MNA MBUNGE MAHIRI. Ukweli utabaki palepale hata wenye wivu wakipotosha.
.....bila kuwasahau wabunge wa CHADEMA walioenda shule kama Joseph Mbilinyi (sugu) na Godbless Lema.Amewasahau wabunge wengine mahiri wa CCM kama Peter Serukamba,Juma Nkamia,Silvester Mabumba na Livingstone Lusinde.
MysteryGAY, You can rot to hell with your phobia attitude.Nami nimemsikia huyo ******, kupitia kituo cha TV cha TBCCM, akimpongeza sana Mwigulu, eti kauliza swali zuri sana kuhusu ubovu wa barabara wa Sheluwi, mkoani Singida, na akatamka LIVE, eti watu wa Iramba magharibi wamepata mbunge makini!!
Huo ni ushahidi usio na shaka yoyote kuwa kumbe, ****** na mzinzi Mwigulu, wana uswahiba mkubwa, kiasi ambacho, ****** anashindwa kujizuia kumsifu hadharani huyo swahiba wake mkubwa!!
Kwa hiyo hapa pia tunapata ushahidi usio na mashaka yoyote kuwa hata ile adhabu ya kumtoa Tundu Lissu, bungeni, haikuzingatia kanuni za bunge,bali ilibase zaidi ushoga uliopo kati ya Mwigulu na ******!!!