Spika ameonyesha udhaifu mkubwa kwa kukataa hoja ya Mh. Tundu Lissu ya kuahirisha shughuli za Bunge ili kujadili jambo la dharura kuhusiana na ajali ya meli iliyotokea kwa kuchanganya kanunh za Bunge na Tundu lisu ametoka nje kikao cha bunge baada ya uamuz huo