Ndoto

Ndoto

scolastika

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2019
Posts
3,863
Reaction score
5,734
Jaman wataalam wa ndoto naomben nitafsirie jana bhana baada ya miangaiko yangu nmerud nyumban nmelala sasa usku wa manane skumbuk ilikuwa kama sa ngap maana nilkuwa na usingiz sana niliota et nmejifungua mtoto wa kike nilfurah sana nkampa na jina moja nshaliandaa na mengine ya kunyonyesha yakafatia sasa badae nkastuka usingizn nkaenda kojoa nkarud kulala usingiz n umenikamata sana sasa hyo ndoto ilirud ileile duh mpaka nkaanza kuwaza Au nmepata mimba kwa uwezo wa roho mtakatfu maana kwanza nakaa mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Roho mtaka bifu labda..
Jaman wataalam wa ndoto naomben nitafsirie jana bhana baada ya miangaiko yangu nmerud nyumban nmelala sasa usku wa manane skumbuk ilikuwa kama sa ngap maana nilkuwa na usingiz sana niliota et nmejifungua mtoto wa kike nilfurah sana nkampa na jina moja nshaliandaa na mengine ya kunyonyesha yakafatia sasa badae nkastuka usingizn nkaenda kojoa nkarud kulala usingiz n umenikamata sana sasa hyo ndoto ilirud ileile duh mpaka nkaanza kuwaza Au nmepata mimba kwa uwezo wa roho mtakatfu maana kwanza nakaa mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jaman wataalam wa ndoto naomben nitafsirie jana bhana baada ya miangaiko yangu nmerud nyumban nmelala sasa usku wa manane skumbuk ilikuwa kama sa ngap maana nilkuwa na usingiz sana niliota et nmejifungua mtoto wa kike nilfurah sana nkampa na jina moja nshaliandaa na mengine ya kunyonyesha yakafatia sasa badae nkastuka usingizn nkaenda kojoa nkarud kulala usingiz n umenikamata sana sasa hyo ndoto ilirud ileile duh mpaka nkaanza kuwaza Au nmepata mimba kwa uwezo wa roho mtakatfu maana kwanza nakaa mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Habari,
Haina shaka ni sahihi kua umezaa na majini.

Dalili ya kua una mahusiano na majini ni pamoja na;
-hauwezi kuwa na mahusiano mazuri na mumeo au mwanamme wako
-huenda hata uchumi usiwe sawasawa
-unapenda usafi kupitiliza
-kama hujaolewa bado inakua ngumu kudumu kwenye mahusiano
N. K.
Hizo ni dalili huenda zote zikajitokeza ama baadhi

Unahitaji msaada wa kiroho maana ni tatizo la kiroho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ndoto maana yake utafanikiwa, yaani kushika mimba ni sawa na kuandaa jambo mfano biashara au mipango yoyote ile ya kimaendeleo, na kuzaa ndiyo kupata au kufanikiwa katika yale uliyoyaandaa, hivyo basi inaweza kuwa kazi biashara ,au mipango yako ikazaa matunda yaani mafanikio tarajiwa.
Hivyo basi kushika mimba na kuzaa kiroho kuna kuna maana yake . Tena zaidi sana ndoto ikijirudia zaidi ya mara moja , maana yake inaweka msisitizo kuwa lazima lazima litimie.
Habakuki 2:2-3

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo ya Walawi 17:7

Wala hawatatoa tena sadaka zao kwa wale majini, ambao huwafuata ili wafanye uasherati nao. Sheria hii itakuwa sheria ya milele kwao, kizazi baada ya kizazi.

Inasema wazi kuna ambao wanafanya mapenzi na Majini, swali unafanyaje mapenzi na majini wasionekana kwa macho ya kawaida? Ni kwa ndoto.

Pia Biblia imeongelea shetani anapanda mapando (magugu) Matayo 13:24-26

24 Yesu akawaambia mfano mwingine, akasema, “Ufalme wa mbi nguni unaweza kufananishwa na mtu aliyepanda mbegu nzuri katika shamba lake. 25 Lakini watu walipokuwa wamelala, adui yake aka ja akapanda magugu katikati ya ngano, akaenda zake.26 Ngano ilipoota na kuzaa, magugu nayo yakachipua.

Ni sahihi umeota mara 2, ni msisitizo kua jambo hilo usipuuzie. Na kama ukipuuzia matokeo yake yatakuja siku chache maishani mwako.

Heri kuziba ufa kuliko kujenga ukuta upya na Bibilia inasema usiache vifungo vyako vikakazwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu hawezi kupata mimba kama hajatom***, sawa japo kipande cha kutom*** ndoto yako iliki peleka mbele, hizo c dalili nzuri
 
Hiyo ndoto maana yake utafanikiwa, yaani kushika mimba ni sawa na kuandaa jambo mfano biashara au mipango yoyote ile ya kimaendeleo, na kuzaa ndiyo kupata au kufanikiwa katika yale uliyoyaandaa, hivyo basi inaweza kuwa kazi biashara ,au mipango yako ikazaa matunda yaani mafanikio tarajiwa.
Hivyo basi kushika mimba na kuzaa kiroho kuna kuna maana yake . Tena zaidi sana ndoto ikijirudia zaidi ya mara moja , maana yake inaweka msisitizo kuwa lazima lazima litimie.
Habakuki 2:2-3

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sawa ukifundisha kuwa pia ndoto huletwa na Mungu.
kwa kutumia vifungu vya Bible..

Lakini ni nan kakupa hekima hiyo ya kubadili ujauzito kuwa biashara????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Au nmepata mimba kwa uwezo wa roho mtakatfu maana kwanza nakaa mwenyewe
Kaangalie ile kondom mliyotumia jana, nahisi ilikuwa na tundu, upate mimba kwa uwezo wa roho mtakatifu mikenyenge ina kazi gani? ila kama upo dar hilo linawezekana kabisa ila sio mkoani.
 
Hiyo ndoto maana yake utafanikiwa, yaani kushika mimba ni sawa na kuandaa jambo mfano biashara au mipango yoyote ile ya kimaendeleo, na kuzaa ndiyo kupata au kufanikiwa katika yale uliyoyaandaa, hivyo basi inaweza kuwa kazi biashara ,au mipango yako ikazaa matunda yaani mafanikio tarajiwa.
Hivyo basi kushika mimba na kuzaa kiroho kuna kuna maana yake . Tena zaidi sana ndoto ikijirudia zaidi ya mara moja , maana yake inaweka msisitizo kuwa lazima lazima litimie.
Habakuki 2:2-3

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi naotaga nafikirigi ni kiu yangu tu ya kupata mtoto
 
Back
Top Bottom