Ndoto zangu zilikuwa nije kuwa Padre lakini sasa nimekuwa Mchakataji

Zero IQ

JF-Expert Member
Dec 21, 2016
13,917
24,674
Nakumbuka nilikuwa na Ndoto moja tu katika Maisha yangu nayo ni siku Moja nije Kuwa padre,

Umaskini ndio ulifanya nisitimize Ndoto zangu na leo Nimekuwa Mchakataji.

ilikuwa hivi wakati Nasoma nilikuwa mtumishi kanisani, nilianza kuwa Mtoto wa yesu, nikaja kuwa minsrati(wale watumishi wa padre pale mbele), nikamalizia na kuwa kwaya master (yule anayeongoza waimbaji pale mbele ),

Kutokana na kutumikia kanisa tangu nikiwa mdogo nilitamani sana siku moja nije kuwa padre na nilijiwekea Nadhiri kabisa sitoweza kukutana na mwanamke mpaka kifo changu ikitokea nikatimiza Ndoto zangu,

Nilikuwa na Wivu kila nilipokuwa nawaona mapdri walivyokuwa wanamtumikia Mungu kwa unyeyekevu mkubwa vile,

Picha lilianza nilivyofika darasa la saba, nilijitahidi kumuweka mzee sawa akanilipia hela ya mtihani wa seminary, Nakumbuka tulikuwa zaidi ya watu 60 kutoka tarafa moja tuliofanya mtihani ule na majibu yalipotoka tulifaulu watu 10,
Hapo bado kulikuwa na interview ya kupunguza tulivyofanya tulichaguliwa watu 4 tu nikiwa mmoja wapo,

Mimi na mwenzangu mmoja tulipangiwa tukasome Seminary ya Kasita,(KASITA SEMINARY) iko inapatikana wilaya ya mahenge/Ulanga,
Na wengine 2 waliobaki mmoja alipangiwa ST PETER SEMINARY MOROGORO, na mwingine DON BOSCO SEMINARY.

Kitu sitoweza kusahau ni kwamba mwezi mmoja kabla ya kwenda kujiunga na shule mzee aliyumba kidogo kiuchumi, kilimo alichokuwa anategemea kikagonga mwamba mambo hayakuwa mambo hivyo alikosa pesa ya kunisomesha,
Ada kwa wakati huo ilikuwa imefika laki 6,na michango mingine midogo midogo ilikuwa inafikia laki 4, hivyo ilitakiwa kama milioni 1 tu, na ilipwe kwa awamu nne lakini ndio hivyo Umaskini bwana ni kitu kibaya sana mzee alishindwa kabisa("sitomlaumu mzee kwa nini Alishindwa ila nazidi kumuombea tu nachojua ni kwamba alijitahidi sana ila ndio hivyo" )


Baada ya kukosa Ada nilienda kusoma shule ya kata,
Mwishoni mwa kidato cha kwanza kuna shangazi yangu flani dada wa kwanza wa mzee wangu ofcourse alikuwa na pesa ninavyosema pesa namaanisha(wakati huo alikuwa anamiliki gari 2 za kutembelea, Nyumba moja kubwa dar, nyumba 2 kubwa morogoro mjini, shule ya ushonaji na kiwanda kidogo cha ushonaji pale Morogoro, Gest moja na ukumbi mkubwa huko wilayani kwetu maduka ya nguo na reja reja , pia alikuwa anamalizia kujenga hotel ya ghorofa tatu hapo morogoro kabla ya kifo chake R.I.P, na biashara nyingine nyingi tu)

Alisema atanisomesha hivyo nifanye tena mtihani, kwa kuwa nilikuwa na Ndoto nikakubali nikafanya tena wakati huo niko kidato cha kwanza nikafaulu na kuchaguliwa tena pale pale KASITA SEMINARY, Lakini ilipofikia wakati wa mimi kwenda shule alikataa kata kata kunisomesha

"Hakika mtegemea cha ndugu hufa maskini" yule shangazi yetu alikuwa na kila kitu lakini hakuweza kusaidia Ndugu yake ata mmoja zaidi ni kwamba alikuwa anasaidia watu baki na wengi wamefaidikia kupitia yeye lakini Ndugu ata mmoja hakuna aliyepata msaada wake au ata kumsogeza mahala(hapa niwape kongole wachanga wanajua kusaidiana) lakini baadhi ya makabila kama hili la kwetu ni ovyo tu,


Niliumia sana siku ile and that was a day Ndoto yangu ilibaki kuwa ndoto ambayo haikuweza kutimia,

Baada ya kushindikana kwa mara ya pili tena kwenda kujiunga na Seminary ambayo ingeniwezesha kutimiza ndoto zangu niliendelea tu kusoma pale shule ya Kata, shule ya serikari ambayo leo hii imenipelekea mimi kuwa Mchakataji.



Cc Zero IQ
 
Usikonde mzee, tukiulizana ni wangap humu wametimiza ndoto zao za tang utotoni......? Jibu unalo,
lakn wanapambana nje ya ndoto na maisha yanaenda.....,
kuna ndoto nyingne zinaendana na mda, mda ukipita ndio basi tena, ila nyingne mda wowote unafaa, kwa wale ambao ndoto zao ni fixed kwa mda maalum na bd mpk sasa una nafasi basi amua
Its Now Or Never.
 
Nakumbuka nilikuwa na Ndoto moja tu katika Maisha yangu nayo ni siku Moja nije Kuwa padre,

Umaskini ndio ulifanya nisitimize Ndoto zangu na leo Nimekuwa Mchakataji.

ilikuwa hivi wakati Nasoma nilikuwa mtumishi kanisani, nilianza kuwa Mtoto wa yesu, nikaja kuwa minsrati(wale watumishi wa padre pale mbele), nikamalizia na kuwa kwaya master (yule anayeongoza waimbaji pale mbele ),

Kutokana na kutumikia kanisa tangu nikiwa mdogo nilitamani sana siku moja nije kuwa padre na nilijiwekea Nadhiri kabisa sitoweza kukutana na mwanamke mpaka kifo changu ikitokea nikatimiza Ndoto zangu,

Nilikuwa na Wivu kila nilipokuwa nawaona mapdri walivyokuwa wanamtumikia Mungu kwa unyeyekevu mkubwa vile,

Picha lilianza nilivyofika darasa la saba, nilijitahidi kumuweka mzee sawa akanilipia hela ya mtihani wa seminary, Nakumbuka tulikuwa zaidi ya watu 60 kutoka tarafa moja tuliofanya mtihani ule na majibu yalipotoka tulifaulu watu 10,
Hapo bado kulikuwa na interview ya kupunguza tulivyofanya tulichaguliwa watu 4 tu nikiwa mmoja wapo,

Mimi na mwenzangu mmoja tulipangiwa tukasome Seminary ya Kasita,(KASITA SEMINARY) iko inapatikana wilaya ya mahenge/Ulanga,
Na wengine 2 waliobaki mmoja alipangiwa ST PETER SEMINARY MOROGORO, na mwingine DON BOSCO SEMINARY.

Kitu sitoweza kusahau ni kwamba mwezi mmoja kabla ya kwenda kujiunga na shule mzee aliyumba kidogo kiuchumi, kilimo alichokuwa anategemea kikagonga mwamba mambo hayakuwa mambo hivyo alikosa pesa ya kunisomesha,
Ada kwa wakati huo ilikuwa imefika laki 6,na michango mingine midogo midogo ilikuwa inafikia laki 4, hivyo ilitakiwa kama milioni 1 tu, na ilipwe kwa awamu nne lakini ndio hivyo Umaskini bwana ni kitu kibaya sana mzee alishindwa kabisa("sitomlaumu mzee kwa nini Alishindwa ila nazidi kumuombea tu nachojua ni kwamba alijitahidi sana ila ndio hivyo" )


Baada ya kukosa Ada nilienda kusoma shule ya kata,
Mwishoni mwa kidato cha kwanza kuna shangazi yangu flani dada wa kwanza wa mzee wangu ofcourse alikuwa na pesa ninavyosema pesa namaanisha(wakati huo alikuwa anamiliki gari 2 za kutembelea, Nyumba moja kubwa dar, nyumba 2 kubwa morogoro mjini, shule ya ushonaji na kiwanda kidogo cha ushonaji pale Morogoro, Gest moja na ukumbi mkubwa huko wilayani kwetu maduka ya nguo na reja reja , pia alikuwa anamalizia kujenga hotel ya ghorofa tatu hapo morogoro kabla ya kifo chake R.I.P, na biashara nyingine nyingi tu)

Alisema atanisomesha hivyo nifanye tena mtihani, kwa kuwa nilikuwa na Ndoto nikakubali nikafanya tena wakati huo niko kidato cha kwanza nikafaulu na kuchaguliwa tena pale pale KASITA SEMINARY, Lakini ilipofikia wakati wa mimi kwenda shule alikataa kata kata kunisomesha

"Hakika mtegemea cha ndugu hufa maskini" yule shangazi yetu alikuwa na kila kitu lakini hakuweza kusaidia Ndugu yake ata mmoja zaidi ni kwamba alikuwa anasaidia watu baki na wengi wamefaidikia kupitia yeye lakini Ndugu ata mmoja hakuna aliyepata msaada wake au ata kumsogeza mahala(hapa niwape kongole wachanga wanajua kusaidiana) lakini baadhi ya makabila kama hili la kwetu ni ovyo tu,


Niliumia sana siku ile and that was a day Ndoto yangu ilibaki kuwa ndoto ambayo haikuweza kutimia,

Baada ya kushindakana kwa mara ya pili tena kwenda kujiunga na Seminary ambayo ingeniwezesha kutimiza ndoto zangu niliendelea tu kusoma pale shule ya Kata, shule ya serikari ambayo leo hii imenipelekea mimi kuwa Mchakataji.



Cc Zero IQ
Ni uelekeo tu wa uchakataji ulibadilika, hata huko wanachakatana sana tu. Sema huko ungezidisha kuficha uchakataji kuliko huku ambako unajisifia waziwazi.
Kuna mama mmoja amestaafu kazi ya ualimu. Anasema alikuwa ameanza kusomea elimu ambayo alikuwa amedhamiria kuwa sista. Ila akiwa anasoma ukatokea msiba wa mmoja wa wazazi wake. Akazidisha siku za ruhusa alizopewa/akakiuka masharti ya ruhusa, hivyo alivyorudi shuleni wakamwambia haiwekani tena kupokelewa hapo shuleni na akarudi home na kuendelea na shule katika mfumo mwingine. Lakini aliapa kuwa sista wa 'kujitegemea' yaani hatachakatwa maisha yake yote kama kutimiza nadhiri aliyojiwekea.Na wakati nakutana naye alikuwa ni mtu mzima na akadai bado anaendelea na nadhiri yake.
Kwa hiyo na wewe mkuu ungefuata huu utaratibu wa huyu sista
 
Kuwa padri sio lazima usome Seminary kijana mimi na rafiki zangu wameenda kusomea upadri ila hawagusa seminary hata kidogo namaanisha form one mpaka form six ila leo wapo huko wanasomea upadri na wengine pia wapo mapadri wengi tu hajapitia seminary hata paroko aliyenipeleka kufanga mtihani hajapitia seminary kabisa
 
Kuwa padri sio lazima usome Seminary kijana mimi na rafiki zangu wameenda kusomea upadri ila hawagusa seminary hata kidogo namaanisha form one mpaka form six ila leo wapo huko wanasomea upadri na wengine pia wapo mapadri wengi tu hajapitia seminary hata paroko aliyenipeleka kufanga mtihani hajapitia seminary kabisa
Mkuu sikuwa naelewa kuhusu hilo, ukizingatia nimekulia huko ndani ndani kabisa na kule maneno yao ni kwamba huwezi kuwa padre bila kusoma seminary that's why Ndoto yangu ilikufa kibudu
 
Pole sana mkuu
Nakumbuka nilikuwa na Ndoto moja tu katika Maisha yangu nayo ni siku Moja nije Kuwa padre,

Umaskini ndio ulifanya nisitimize Ndoto zangu na leo Nimekuwa Mchakataji.

ilikuwa hivi wakati Nasoma nilikuwa mtumishi kanisani, nilianza kuwa Mtoto wa yesu, nikaja kuwa minsrati(wale watumishi wa padre pale mbele), nikamalizia na kuwa kwaya master (yule anayeongoza waimbaji pale mbele ),

Kutokana na kutumikia kanisa tangu nikiwa mdogo nilitamani sana siku moja nije kuwa padre na nilijiwekea Nadhiri kabisa sitoweza kukutana na mwanamke mpaka kifo changu ikitokea nikatimiza Ndoto zangu,

Nilikuwa na Wivu kila nilipokuwa nawaona mapdri walivyokuwa wanamtumikia Mungu kwa unyeyekevu mkubwa vile,

Picha lilianza nilivyofika darasa la saba, nilijitahidi kumuweka mzee sawa akanilipia hela ya mtihani wa seminary, Nakumbuka tulikuwa zaidi ya watu 60 kutoka tarafa moja tuliofanya mtihani ule na majibu yalipotoka tulifaulu watu 10,
Hapo bado kulikuwa na interview ya kupunguza tulivyofanya tulichaguliwa watu 4 tu nikiwa mmoja wapo,

Mimi na mwenzangu mmoja tulipangiwa tukasome Seminary ya Kasita,(KASITA SEMINARY) iko inapatikana wilaya ya mahenge/Ulanga,
Na wengine 2 waliobaki mmoja alipangiwa ST PETER SEMINARY MOROGORO, na mwingine DON BOSCO SEMINARY.

Kitu sitoweza kusahau ni kwamba mwezi mmoja kabla ya kwenda kujiunga na shule mzee aliyumba kidogo kiuchumi, kilimo alichokuwa anategemea kikagonga mwamba mambo hayakuwa mambo hivyo alikosa pesa ya kunisomesha,
Ada kwa wakati huo ilikuwa imefika laki 6,na michango mingine midogo midogo ilikuwa inafikia laki 4, hivyo ilitakiwa kama milioni 1 tu, na ilipwe kwa awamu nne lakini ndio hivyo Umaskini bwana ni kitu kibaya sana mzee alishindwa kabisa("sitomlaumu mzee kwa nini Alishindwa ila nazidi kumuombea tu nachojua ni kwamba alijitahidi sana ila ndio hivyo" )


Baada ya kukosa Ada nilienda kusoma shule ya kata,
Mwishoni mwa kidato cha kwanza kuna shangazi yangu flani dada wa kwanza wa mzee wangu ofcourse alikuwa na pesa ninavyosema pesa namaanisha(wakati huo alikuwa anamiliki gari 2 za kutembelea, Nyumba moja kubwa dar, nyumba 2 kubwa morogoro mjini, shule ya ushonaji na kiwanda kidogo cha ushonaji pale Morogoro, Gest moja na ukumbi mkubwa huko wilayani kwetu maduka ya nguo na reja reja , pia alikuwa anamalizia kujenga hotel ya ghorofa tatu hapo morogoro kabla ya kifo chake R.I.P, na biashara nyingine nyingi tu)

Alisema atanisomesha hivyo nifanye tena mtihani, kwa kuwa nilikuwa na Ndoto nikakubali nikafanya tena wakati huo niko kidato cha kwanza nikafaulu na kuchaguliwa tena pale pale KASITA SEMINARY, Lakini ilipofikia wakati wa mimi kwenda shule alikataa kata kata kunisomesha

"Hakika mtegemea cha ndugu hufa maskini" yule shangazi yetu alikuwa na kila kitu lakini hakuweza kusaidia Ndugu yake ata mmoja zaidi ni kwamba alikuwa anasaidia watu baki na wengi wamefaidikia kupitia yeye lakini Ndugu ata mmoja hakuna aliyepata msaada wake au ata kumsogeza mahala(hapa niwape kongole wachanga wanajua kusaidiana) lakini baadhi ya makabila kama hili la kwetu ni ovyo tu,


Niliumia sana siku ile and that was a day Ndoto yangu ilibaki kuwa ndoto ambayo haikuweza kutimia,

Baada ya kushindikana kwa mara ya pili tena kwenda kujiunga na Seminary ambayo ingeniwezesha kutimiza ndoto zangu niliendelea tu kusoma pale shule ya Kata, shule ya serikari ambayo leo hii imenipelekea mimi kuwa Mchakataji.



Cc Zero IQ
 
Kama bado unawoto fanya ujiunge na shirika lolote linalokufutia,,,sasa si umeahajua ya kwamba ili uwe padre sio lazima kupita seminary
 
Nakumbuka nilikuwa na Ndoto moja tu katika Maisha yangu nayo ni siku Moja nije Kuwa padre,

Umaskini ndio ulifanya nisitimize Ndoto zangu na leo Nimekuwa Mchakataji.

ilikuwa hivi wakati Nasoma nilikuwa mtumishi kanisani, nilianza kuwa Mtoto wa yesu, nikaja kuwa minsrati(wale watumishi wa padre pale mbele), nikamalizia na kuwa kwaya master (yule anayeongoza waimbaji pale mbele ),

Kutokana na kutumikia kanisa tangu nikiwa mdogo nilitamani sana siku moja nije kuwa padre na nilijiwekea Nadhiri kabisa sitoweza kukutana na mwanamke mpaka kifo changu ikitokea nikatimiza Ndoto zangu,

Nilikuwa na Wivu kila nilipokuwa nawaona mapdri walivyokuwa wanamtumikia Mungu kwa unyeyekevu mkubwa vile,

Picha lilianza nilivyofika darasa la saba, nilijitahidi kumuweka mzee sawa akanilipia hela ya mtihani wa seminary, Nakumbuka tulikuwa zaidi ya watu 60 kutoka tarafa moja tuliofanya mtihani ule na majibu yalipotoka tulifaulu watu 10,
Hapo bado kulikuwa na interview ya kupunguza tulivyofanya tulichaguliwa watu 4 tu nikiwa mmoja wapo,

Mimi na mwenzangu mmoja tulipangiwa tukasome Seminary ya Kasita,(KASITA SEMINARY) iko inapatikana wilaya ya mahenge/Ulanga,
Na wengine 2 waliobaki mmoja alipangiwa ST PETER SEMINARY MOROGORO, na mwingine DON BOSCO SEMINARY.

Kitu sitoweza kusahau ni kwamba mwezi mmoja kabla ya kwenda kujiunga na shule mzee aliyumba kidogo kiuchumi, kilimo alichokuwa anategemea kikagonga mwamba mambo hayakuwa mambo hivyo alikosa pesa ya kunisomesha,
Ada kwa wakati huo ilikuwa imefika laki 6,na michango mingine midogo midogo ilikuwa inafikia laki 4, hivyo ilitakiwa kama milioni 1 tu, na ilipwe kwa awamu nne lakini ndio hivyo Umaskini bwana ni kitu kibaya sana mzee alishindwa kabisa("sitomlaumu mzee kwa nini Alishindwa ila nazidi kumuombea tu nachojua ni kwamba alijitahidi sana ila ndio hivyo" )


Baada ya kukosa Ada nilienda kusoma shule ya kata,
Mwishoni mwa kidato cha kwanza kuna shangazi yangu flani dada wa kwanza wa mzee wangu ofcourse alikuwa na pesa ninavyosema pesa namaanisha(wakati huo alikuwa anamiliki gari 2 za kutembelea, Nyumba moja kubwa dar, nyumba 2 kubwa morogoro mjini, shule ya ushonaji na kiwanda kidogo cha ushonaji pale Morogoro, Gest moja na ukumbi mkubwa huko wilayani kwetu maduka ya nguo na reja reja , pia alikuwa anamalizia kujenga hotel ya ghorofa tatu hapo morogoro kabla ya kifo chake R.I.P, na biashara nyingine nyingi tu)

Alisema atanisomesha hivyo nifanye tena mtihani, kwa kuwa nilikuwa na Ndoto nikakubali nikafanya tena wakati huo niko kidato cha kwanza nikafaulu na kuchaguliwa tena pale pale KASITA SEMINARY, Lakini ilipofikia wakati wa mimi kwenda shule alikataa kata kata kunisomesha

"Hakika mtegemea cha ndugu hufa maskini" yule shangazi yetu alikuwa na kila kitu lakini hakuweza kusaidia Ndugu yake ata mmoja zaidi ni kwamba alikuwa anasaidia watu baki na wengi wamefaidikia kupitia yeye lakini Ndugu ata mmoja hakuna aliyepata msaada wake au ata kumsogeza mahala(hapa niwape kongole wachanga wanajua kusaidiana) lakini baadhi ya makabila kama hili la kwetu ni ovyo tu,


Niliumia sana siku ile and that was a day Ndoto yangu ilibaki kuwa ndoto ambayo haikuweza kutimia,

Baada ya kushindikana kwa mara ya pili tena kwenda kujiunga na Seminary ambayo ingeniwezesha kutimiza ndoto zangu niliendelea tu kusoma pale shule ya Kata, shule ya serikari ambayo leo hii imenipelekea mimi kuwa Mchakataji.



Cc Zero IQ
Tatizo lenu WARANGI ni WABINAFSI SANA
 
"Hakika mtegemea cha ndugu hufa maskini" yule shangazi yetu alikuwa na kila kitu lakini hakuweza kusaidia Ndugu yake ata mmoja zaidi ni kwamba alikuwa anasaidia watu baki na wengi wamefaidikia kupitia yeye lakini Ndugu ata mmoja hakuna aliyepata msaada wake au ata kumsogeza mahala(hapa niwape kongole wachaga wanajua kusaidiana) lakini baadhi ya makabila kama hili la kwetu ni ovyo tu,
Vipi huyo shangazi yenu mlimsaidia ndugu kutajirika au alisaidiwa na watu baki? Makabila unayoyasifia kusaidiana ndugu humsaidia ndugu yao kutajirika kwa mfano kujitolea bure kuuza duka ,kuendesha daladala nk huku wakilala hata chini bila mishahara ,Biashara ikiwa nzuri hukumbukana,Kama shangazi yenu alisaidiwa na watu baki ana haki ya kusaidia watu baki na kuwabwaga nyie ndugu zake.Usije kuta pengine alikuwa na mtoto mchanga hata ndugu tu wa kujitolea akawe house girl kwake alikosa ikabidi atafute mtu baki ,Lawama hizi jibu ni moja ndugu mlimsaidia kwa lolote kutajirika au mpo tu mnapanua midomo kusubiri mle chake wakati hamkuwa msaada wowote kwake kutajirika
 
Nakumbuka nilikuwa na Ndoto moja tu katika Maisha yangu nayo ni siku Moja nije Kuwa padre,
Umaskini ndio ulifanya nisitimize Ndoto zangu na leo Nimekuwa Mchakataji.
ilikuwa hivi wakati Nasoma nilikuwa mtumishi kanisani, nilianza kuwa Mtoto wa yesu, nikaja kuwa minsrati(wale watumishi wa padre pale mbele), nikamalizia na kuwa kwaya master (yule anayeongoza waimbaji pale mbele ),
Kutokana na kutumikia kanisa tangu nikiwa mdogo nilitamani sana siku moja nije kuwa padre na nilijiwekea Nadhiri kabisa sitoweza kukutana na mwanamke mpaka kifo changu ikitokea nikatimiza Ndoto zangu,
Nilikuwa na Wivu kila nilipokuwa nawaona mapdri walivyokuwa wanamtumikia Mungu kwa unyeyekevu mkubwa vile,
Picha lilianza nilivyofika darasa la saba, nilijitahidi kumuweka mzee sawa akanilipia hela ya mtihani wa seminary, Nakumbuka tulikuwa zaidi ya watu 60 kutoka tarafa moja tuliofanya mtihani ule na majibu yalipotoka tulifaulu watu 10,
Hapo bado kulikuwa na interview ya kupunguza tulivyofanya tulichaguliwa watu 4 tu nikiwa mmoja wapo,
Mimi na mwenzangu mmoja tulipangiwa tukasome Seminary ya Kasita,(KASITA SEMINARY) iko inapatikana wilaya ya mahenge/Ulanga,
Na wengine 2 waliobaki mmoja alipangiwa ST PETER SEMINARY MOROGORO, na mwingine DON BOSCO SEMINARY.
Kitu sitoweza kusahau ni kwamba mwezi mmoja kabla ya kwenda kujiunga na shule mzee aliyumba kidogo kiuchumi, kilimo alichokuwa anategemea kikagonga mwamba mambo hayakuwa mambo hivyo alikosa pesa ya kunisomesha,
Ada kwa wakati huo ilikuwa imefika laki 6,na michango mingine midogo midogo ilikuwa inafikia laki 4, hivyo ilitakiwa kama milioni 1 tu, na ilipwe kwa awamu nne lakini ndio hivyo Umaskini bwana ni kitu kibaya sana mzee alishindwa kabisa("sitomlaumu mzee kwa nini Alishindwa ila nazidi kumuombea tu nachojua ni kwamba alijitahidi sana ila ndio hivyo" )
Baada ya kukosa Ada nilienda kusoma shule ya kata,
Mwishoni mwa kidato cha kwanza kuna shangazi yangu flani dada wa kwanza wa mzee wangu ofcourse alikuwa na pesa ninavyosema pesa namaanisha(wakati huo alikuwa anamiliki gari 2 za kutembelea, Nyumba moja kubwa dar, nyumba 2 kubwa morogoro mjini, shule ya ushonaji na kiwanda kidogo cha ushonaji pale Morogoro, Gest moja na ukumbi mkubwa huko wilayani kwetu maduka ya nguo na reja reja , pia alikuwa anamalizia kujenga hotel ya ghorofa tatu hapo morogoro kabla ya kifo chake R.I.P, na biashara nyingine nyingi tu)
Alisema atanisomesha hivyo nifanye tena mtihani, kwa kuwa nilikuwa na Ndoto nikakubali nikafanya tena wakati huo niko kidato cha kwanza nikafaulu na kuchaguliwa tena pale pale KASITA SEMINARY, Lakini ilipofikia wakati wa mimi kwenda shule alikataa kata kata kunisomesha
"Hakika mtegemea cha ndugu hufa maskini" yule shangazi yetu alikuwa na kila kitu lakini hakuweza kusaidia Ndugu yake ata mmoja zaidi ni kwamba alikuwa anasaidia watu baki na wengi wamefaidikia kupitia yeye lakini Ndugu ata mmoja hakuna aliyepata msaada wake au ata kumsogeza mahala(hapa niwape kongole wachanga wanajua kusaidiana) lakini baadhi ya makabila kama hili la kwetu ni ovyo tu,
Niliumia sana siku ile and that was a day Ndoto yangu ilibaki kuwa ndoto ambayo haikuweza kutimia,
Baada ya kushindikana kwa mara ya pili tena kwenda kujiunga na Seminary ambayo ingeniwezesha kutimiza ndoto zangu niliendelea tu kusoma pale shule ya Kata, shule ya serikari ambayo leo hii imenipelekea mimi kuwa Mchakataji.
Cc Zero IQ
Hivi kweli weye mzee ndiye ungekuwa baba "paroko" wa huku kwetu Nyabula Iringa?Ingebidi tukuombee uhamisho uende Nyamisisye kule Kiabakari,Butiama.😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Nakumbuka nilikuwa na Ndoto moja tu katika Maisha yangu nayo ni siku Moja nije Kuwa padre,

Umaskini ndio ulifanya nisitimize Ndoto zangu na leo Nimekuwa Mchakataji.

ilikuwa hivi wakati Nasoma nilikuwa mtumishi kanisani, nilianza kuwa Mtoto wa yesu, nikaja kuwa minsrati(wale watumishi wa padre pale mbele), nikamalizia na kuwa kwaya master (yule anayeongoza waimbaji pale mbele ),

Kutokana na kutumikia kanisa tangu nikiwa mdogo nilitamani sana siku moja nije kuwa padre na nilijiwekea Nadhiri kabisa sitoweza kukutana na mwanamke mpaka kifo changu ikitokea nikatimiza Ndoto zangu,

Nilikuwa na Wivu kila nilipokuwa nawaona mapdri walivyokuwa wanamtumikia Mungu kwa unyeyekevu mkubwa vile,

Picha lilianza nilivyofika darasa la saba, nilijitahidi kumuweka mzee sawa akanilipia hela ya mtihani wa seminary, Nakumbuka tulikuwa zaidi ya watu 60 kutoka tarafa moja tuliofanya mtihani ule na majibu yalipotoka tulifaulu watu 10,
Hapo bado kulikuwa na interview ya kupunguza tulivyofanya tulichaguliwa watu 4 tu nikiwa mmoja wapo,

Mimi na mwenzangu mmoja tulipangiwa tukasome Seminary ya Kasita,(KASITA SEMINARY) iko inapatikana wilaya ya mahenge/Ulanga,
Na wengine 2 waliobaki mmoja alipangiwa ST PETER SEMINARY MOROGORO, na mwingine DON BOSCO SEMINARY.

Kitu sitoweza kusahau ni kwamba mwezi mmoja kabla ya kwenda kujiunga na shule mzee aliyumba kidogo kiuchumi, kilimo alichokuwa anategemea kikagonga mwamba mambo hayakuwa mambo hivyo alikosa pesa ya kunisomesha,
Ada kwa wakati huo ilikuwa imefika laki 6,na michango mingine midogo midogo ilikuwa inafikia laki 4, hivyo ilitakiwa kama milioni 1 tu, na ilipwe kwa awamu nne lakini ndio hivyo Umaskini bwana ni kitu kibaya sana mzee alishindwa kabisa("sitomlaumu mzee kwa nini Alishindwa ila nazidi kumuombea tu nachojua ni kwamba alijitahidi sana ila ndio hivyo" )


Baada ya kukosa Ada nilienda kusoma shule ya kata,
Mwishoni mwa kidato cha kwanza kuna shangazi yangu flani dada wa kwanza wa mzee wangu ofcourse alikuwa na pesa ninavyosema pesa namaanisha(wakati huo alikuwa anamiliki gari 2 za kutembelea, Nyumba moja kubwa dar, nyumba 2 kubwa morogoro mjini, shule ya ushonaji na kiwanda kidogo cha ushonaji pale Morogoro, Gest moja na ukumbi mkubwa huko wilayani kwetu maduka ya nguo na reja reja , pia alikuwa anamalizia kujenga hotel ya ghorofa tatu hapo morogoro kabla ya kifo chake R.I.P, na biashara nyingine nyingi tu)

Alisema atanisomesha hivyo nifanye tena mtihani, kwa kuwa nilikuwa na Ndoto nikakubali nikafanya tena wakati huo niko kidato cha kwanza nikafaulu na kuchaguliwa tena pale pale KASITA SEMINARY, Lakini ilipofikia wakati wa mimi kwenda shule alikataa kata kata kunisomesha

"Hakika mtegemea cha ndugu hufa maskini" yule shangazi yetu alikuwa na kila kitu lakini hakuweza kusaidia Ndugu yake ata mmoja zaidi ni kwamba alikuwa anasaidia watu baki na wengi wamefaidikia kupitia yeye lakini Ndugu ata mmoja hakuna aliyepata msaada wake au ata kumsogeza mahala(hapa niwape kongole wachanga wanajua kusaidiana) lakini baadhi ya makabila kama hili la kwetu ni ovyo tu,


Niliumia sana siku ile and that was a day Ndoto yangu ilibaki kuwa ndoto ambayo haikuweza kutimia,

Baada ya kushindikana kwa mara ya pili tena kwenda kujiunga na Seminary ambayo ingeniwezesha kutimiza ndoto zangu niliendelea tu kusoma pale shule ya Kata, shule ya serikari ambayo leo hii imenipelekea mimi kuwa Mchakataji.



Cc Zero IQ
Really sad, Ina ukweli hili bandiko!!
 
Kuwa padri sio lazima usome Seminary kijana mimi na rafiki zangu wameenda kusomea upadri ila hawagusa seminary hata kidogo namaanisha form one mpaka form six ila leo wapo huko wanasomea upadri na wengine pia wapo mapadri wengi tu hajapitia seminary hata paroko aliyenipeleka kufanga mtihani hajapitia seminary kabisa
Kweli Mayor, kuna Padre mmoja amafariki jumatatu hii "Lucas Pius Wakuganda" anazikwa kesho Mbeya. Huyu O'level amesoma Iyunga Technical School, Advance Ifunda Technical School. Lakini akaja kuwa Padre.
We Zero usitafute excuses kwa tabia yako ya Uchanjaji na kutokuwa Padre!!
 
Back
Top Bottom