Mchemiaa
Senior Member
- Jan 7, 2018
- 174
- 188
Wakubwa shikamooni,
Tangu nkiwa mtoto nilikuwa sana navutiwa na kazi ya Usalama wa Taifa yaani nikiwaona wanavyofanya kazi zao kwenye misafara ya viongozi navutiwa sana kuwa mmoja wao na niliamini ipo siku nitakuwa lakini mpaka leo sijona dira kabisa na umri unayoyoma kwa sasa nina miaka 26 degree holder nimeajiriwa sekta binafsi.
Nadhan baada ya miaka miwili nitapoteza sifa kabisa kwa kigezo cha umri. Rai yangu kama kuna yoyote anaweza kuniunganisha anisaidie nitimize ndoto zangu katika kulitumikia taifa langu
Tangu nkiwa mtoto nilikuwa sana navutiwa na kazi ya Usalama wa Taifa yaani nikiwaona wanavyofanya kazi zao kwenye misafara ya viongozi navutiwa sana kuwa mmoja wao na niliamini ipo siku nitakuwa lakini mpaka leo sijona dira kabisa na umri unayoyoma kwa sasa nina miaka 26 degree holder nimeajiriwa sekta binafsi.
Nadhan baada ya miaka miwili nitapoteza sifa kabisa kwa kigezo cha umri. Rai yangu kama kuna yoyote anaweza kuniunganisha anisaidie nitimize ndoto zangu katika kulitumikia taifa langu