Ndoto za kupaa na kuelea hewani zinaashiria nini?

Rastad

Member
Oct 3, 2011
13
3
Jamani mimi mwenzenu naomba kuuliza. Mara nyingi nimekuwa naota ndoto ambapo katika ndoto hizo ni kwamba huwa ninakuwa na uwezo wa kuruka na kupaa hewani nikielea.

Tatizo ndoto hizi huwa naziota mara nyingi, bora ingekuwa naota mara moja moja lakini zinajirudia.

Zina maana gani?

=========

Similar cases:

 

kuna kipind nilikuwa na ndoto kama zako, kwa sasa siot tena ila nilikuwa nainjoy sana
 

Ni kawaida hiyo hasa kipindi mambo yako yanapokuendea vizuri hali hii hujitokeza, wakati mwingine inakaa muda mrefu utadhani hauko ndotoni.
 
Hii ndoto naota mara nyingi napaa angani ina maana gani? Nashindwa kuelewa kwani naiota mara nyingi sana nimetafuta maana yake nashindwa kupata jibu,nanyoosha mikono juu nakunja magoti kidogo,nikiinua magoti napaa na watu wengi wanakuja kushuhudia hilo,,maana yake nini ndugu zangu.
 
​@director1 ukiona dalili za kupaa uni pm ndotoni ili tupae wote mwana, haiwezekani uhondo uufaidi peke yako
 
Nenda hospital kapime afya kama ni mkirsto nenda kwenye maombi na kama ni mwislam kula nyama iliyochinjwa na mkristo(Siku nyingine ukiota jikague kama umepiga bao isijekuwa wakati wa finishing ndio unadhani unapaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…