Kangol
Member
- Jun 3, 2013
- 47
- 8
"Kuona wakulima wa Tanzania wanapata soko la uhakika la mazao yao na wanawezeshwa kushiriki kwenye shughuli nyingine za kujipatia kipato; vijana wanapatiwa elimu bora katika ngazi zote itayowapa ujuzi wa kuajiriwa na kujiajiri wenyewe; sekta binafsi inawezeshwa ipasavyo kwa kupunguza vikwazo na kuboresha miundombinu ili ichangie kwenye pato la taifa ipasavyo; na mwisho, huduma bora ya afya inatolewa bila malipo kwa wajawazito, watoto na wazee"