Ndoto inayonisikitisha, msaada please!

Ndoto inayonisikitisha, msaada please!

Hossam

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2011
Posts
3,548
Reaction score
2,180
Usiku wa kuamkia leo nimeota ndoto.

Ilikuwa yapata majira ya jioni wakati mimi, mke wangu na mtoto wangu wa miaka sita tulipokuwa tukitembea tembea darajani huku mwanangu akiendesha baskeli ndogo.

Daraja hilo lilikatisha mtoni na kwa upande wa kushoto kulikuwa na sehemu ambapo maji yake yalikuwa safi na hayakuwa yakitembea kwa spidi. Ghafla mtoto wangu akasimamisha baskeli kingoni mwa daraja na kuruka hadi chini na kuanza kuogelea kwa madaha. Nilistuka sana japo mama yake alinijulisha kwamba mwanae anapenda kuogelea jambo ambalo nililipinga na kuanza kumwita kwa hofu arejee tulipo kupitia ng'ambo ya pili.

Nilihofia mnaweza kuwa na mamba hivyo mwanangu angeraruliwa. Nikisema hayo nikatazama nyuma yake na kuomba mamba kama kumi hivi wakimwendea kwa kasi. Nilipiga kelele kumjulisha mwanangu naye bila kupoteza muda aliogelea kwa kasi kuelekea ukingo wa pili.

Alijitahidi sana lakini kuna mamba mmoja mdogo alimkaribia sana hadi mwanangu anatoka mtoni yule mamba aliambulia kuuma gauni lake kwa nyuma lakini mwanangu hakumdhuru. Nilichungulia kwa chini lakini sikumwona mwanangu.

Nisijue la kufanya, nikastuka ndotoni.

Mimi Pangu Pakavu nimeota, naomba wajuzi nipeni tafsiri.
 
relax.....mafanikio yanakuja japokuwa ni kwa tabu na mashaka!
 
Dah asante #rubii yaani ndoto hii imenihuzunisha sana! Nimemwangalia mwanangu asubuhi hajambo kabisa
 
Kumbe ni ndoto.sina cha kukushauri,na shekhe yahaya alishadanja
 
Tarajia mafanikio unayoyatamani kuyafikia kwa siku za karibuni ingawa kwa misukosuko sana. Mke wangu alishaota ndoto inayofanana. Kipindi ambacho mazingira yangu ya kazi yalikuwa magumu na nilihangaika uhamisho bila mafanikio, siku flan aliota anavuka mto wenye kharaha na shari nyingi hata alipostuka alionesha kuhema. Akanisimulia nikabashiri mafanikio. Siku ya pili nikapigiwa simu kuwa barua yangu ya uhamisho toka TAMISEMI ipo kwa mkurugenzi wangu, nimefanikiwa kuhama.
 
Ndoto...dah..!
Sina cha kusaidia sio muumini mzuri wa ndoto
 
Tarajia mafanikio unayoyatamani kuyafikia kwa siku za karibuni ingawa kwa misukosuko sana. Mke wangu alishaota ndoto inayofanana. Kipindi ambacho mazingira yangu ya kazi yalikuwa magumu na nilihangaika uhamisho bila mafanikio, siku flan aliota anavuka mto wenye kharaha na shari nyingi hata alipostuka alionesha kuhema. Akanisimulia nikabashiri mafanikio. Siku ya pili nikapigiwa simu kuwa barua yangu ya uhamisho toka TAMISEMI ipo kwa mkurugenzi wangu, nimefanikiwa kuhama.

Asante kamanda naamini hilo! Hongera mwenzangu umepata ulicho tamani!
 
Usiku wa kuamkia leo nimeota ndoto.

Ilikuwa yapata majira ya jioni wakati mimi, mke wangu na mtoto wangu wa miaka sita tulipokuwa tukitembea tembea darajani huku mwanangu akiendesha baskeli ndogo.

Daraja hilo lilikatisha mtoni na kwa upande wa kushoto kulikuwa na sehemu ambapo maji yake yalikuwa safi na hayakuwa yakitembea kwa spidi. Ghafla mtoto wangu akasimamisha baskeli kingoni mwa daraja na kuruka hadi chini na kuanza kuogelea kwa madaha. Nilistuka sana japo mama yake alinijulisha kwamba mwanae anapenda kuogelea jambo ambalo nililipinga na kuanza kumwita kwa hofu arejee tulipo kupitia ng'ambo ya pili.

Nilihofia mnaweza kuwa na mamba hivyo mwanangu angeraruliwa. Nikisema hayo nikatazama nyuma yake na kuomba mamba kama kumi hivi wakimwendea kwa kasi. Nilipiga kelele kumjulisha mwanangu naye bila kupoteza muda aliogelea kwa kasi kuelekea ukingo wa pili.

Alijitahidi sana lakini kuna mamba mmoja mdogo alimkaribia sana hadi mwanangu anatoka mtoni yule mamba aliambulia kuuma gauni lake kwa nyuma lakini mwanangu hakumdhuru. Nilichungulia kwa chini lakini sikumwona mwanangu.

Nisijue la kufanya, nikastuka ndotoni.

Mimi Pangu Pakavu nimeota, naomba wajuzi nipeni tafsiri.

Punguza kupiga misosi heavy wakati wa usiku mwisho kuna siku utaota umefanya jaribio la kuangusha serikali likashindwa!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Usiku wa kuamkia leo nimeota ndoto.

Ilikuwa yapata majira ya jioni wakati mimi, mke wangu na mtoto wangu wa miaka sita tulipokuwa tukitembea tembea darajani huku mwanangu akiendesha baskeli ndogo.

Daraja hilo lilikatisha mtoni na kwa upande wa kushoto kulikuwa na sehemu ambapo maji yake yalikuwa safi na hayakuwa yakitembea kwa spidi. Ghafla mtoto wangu akasimamisha baskeli kingoni mwa daraja na kuruka hadi chini na kuanza kuogelea kwa madaha. Nilistuka sana japo mama yake alinijulisha kwamba mwanae anapenda kuogelea jambo ambalo nililipinga na kuanza kumwita kwa hofu arejee tulipo kupitia ng'ambo ya pili.

Nilihofia mnaweza kuwa na mamba hivyo mwanangu angeraruliwa. Nikisema hayo nikatazama nyuma yake na kuomba mamba kama kumi hivi wakimwendea kwa kasi. Nilipiga kelele kumjulisha mwanangu naye bila kupoteza muda aliogelea kwa kasi kuelekea ukingo wa pili.

Alijitahidi sana lakini kuna mamba mmoja mdogo alimkaribia sana hadi mwanangu anatoka mtoni yule mamba aliambulia kuuma gauni lake kwa nyuma lakini mwanangu hakumdhuru. Nilichungulia kwa chini lakini sikumwona mwanangu.

Nisijue la kufanya, nikastuka ndotoni.

Mimi Pangu Pakavu nimeota, naomba wajuzi nipeni tafsiri.
mzee, wenzio wanakufariji na kukuficha, mimi nitakwambia ukweli wote.

ndoto yako ina maana kwamba, mtoto wako atakabiliwa na hatari ambayo inaweza kupoteza uhai wake kabisa, lakini ataponea chupuchupu. kitu cha muimu ni kwamba, uliona hajafa yaani wale mamba waliokuwa wanamfukuza hawakufanikiwa kumkamata, ni mamba mdogo ndio aling'ata tu gauni hiyo ina maana kwamba atakuwa attacked na kitu kitakachomuumiza kwa kumkwarua tu hatadhurika. tarajia hilo.

ndoto hizi huwa ukiota leo inaweza kutokea ndani ya wiki moja au mbili au mwezi au miezi. hivyo nakushauri anza kuomba Mungu na kukemea na kuvunja ndoto hiyo mbaya kwa Jina la Yesu Kristo lazima itasambaratika.

siku nyingine ukiota ndoto, palepale usiku utakapostuka usisubiri, ujue unapoota ndoto inamaana maadui zako ndio wako kwenye kikao cha kupanga mipango hiyo (maadui wanaweza kuwa wachawi au hata mapepo/mashetani tu huko kuzimu) na Mungu ni mwaminifu huwa anawaonyesha ndoto wabaya na wema. ukistuka tu palepale we kemea na sambaratisha, usipofanya hivyo ujue kuanzia kesho yake wale jamaa wanaanza kuitekeleza kwa kuweka mitego na kutuma mapepo, hivyo wawahi kabla hawajaanza kuitendea kazi wasambaratisha palepale usiku na huwa inafutika na haitatokea. kwasababu haujasambaratisha, jaribu kusambaratisha sasaivi kwamba mitego waliyoitega au maadui waliokaa tayari wasambaratishwe kwa Jina la Yesu, kama hautafanya hivyo itatokea kama ulivyoota. hayo maji ni ni dunia yaani mitaani huko, kuogelea kwenye maji ni kutembeatembea duniani na hayo mamamba inaweza kuwa hatari yeyote ambayo mashetani yametumwa kuja kufanya either ajali, ugomvi, magonjwa etc.
 
mzee, wenzio wanakufariji na kukuficha, mimi nitakwambia ukweli wote.

ndoto yako ina maana kwamba, mtoto wako atakabiliwa na hatari ambayo inaweza kupoteza uhai wake kabisa, lakini ataponea chupuchupu. kitu cha muimu ni kwamba, uliona hajafa yaani wale mamba waliokuwa wanamfukuza hawakufanikiwa kumkamata, ni mamba mdogo ndio aling'ata tu gauni hiyo ina maana kwamba atakuwa attacked na kitu kitakachomuumiza kwa kumkwarua tu hatadhurika. tarajia hilo.

ndoto hizi huwa ukiota leo inaweza kutokea ndani ya wiki moja au mbili au mwezi au miezi. hivyo nakushauri anza kuomba Mungu na kukemea na kuvunja ndoto hiyo mbaya kwa Jina la Yesu Kristo lazima itasambaratika.

siku nyingine ukiota ndoto, palepale usiku utakapostuka usisubiri, ujue unapoota ndoto inamaana maadui zako ndio wako kwenye kikao cha kupanga mipango hiyo (maadui wanaweza kuwa wachawi au hata mapepo/mashetani tu huko kuzimu) na Mungu ni mwaminifu huwa anawaonyesha ndoto wabaya na wema. ukistuka tu palepale we kemea na sambaratisha, usipofanya hivyo ujue kuanzia kesho yake wale jamaa wanaanza kuitekeleza kwa kuweka mitego na kutuma mapepo, hivyo wawahi kabla hawajaanza kuitendea kazi wasambaratisha palepale usiku na huwa inafutika na haitatokea. kwasababu haujasambaratisha, jaribu kusambaratisha sasaivi kwamba mitego waliyoitega au maadui waliokaa tayari wasambaratishwe kwa Jina la Yesu, kama hautafanya hivyo itatokea kama ulivyoota. hayo maji ni ni dunia yaani mitaani huko, kuogelea kwenye maji ni kutembeatembea duniani na hayo mamamba inaweza kuwa hatari yeyote ambayo mashetani yametumwa kuja kufanya either ajali, ugomvi, magonjwa etc.

Mkuu kwa kujifanya Yusufu aka Cha njozi!
ndoto zipo tu, ni kawaida na proven scientifically.
 
Usiku wa kuamkia leo nimeota ndoto.

Ilikuwa yapata majira ya jioni wakati mimi, mke wangu na mtoto wangu wa miaka sita tulipokuwa tukitembea tembea darajani huku mwanangu akiendesha baskeli ndogo.

Daraja hilo lilikatisha mtoni na kwa upande wa kushoto kulikuwa na sehemu ambapo maji yake yalikuwa safi na hayakuwa yakitembea kwa spidi. Ghafla mtoto wangu akasimamisha baskeli kingoni mwa daraja na kuruka hadi chini na kuanza kuogelea kwa madaha. Nilistuka sana japo mama yake alinijulisha kwamba mwanae anapenda kuogelea jambo ambalo nililipinga na kuanza kumwita kwa hofu arejee tulipo kupitia ng'ambo ya pili.

Nilihofia mnaweza kuwa na mamba hivyo mwanangu angeraruliwa. Nikisema hayo nikatazama nyuma yake na kuomba mamba kama kumi hivi wakimwendea kwa kasi. Nilipiga kelele kumjulisha mwanangu naye bila kupoteza muda aliogelea kwa kasi kuelekea ukingo wa pili.

Alijitahidi sana lakini kuna mamba mmoja mdogo alimkaribia sana hadi mwanangu anatoka mtoni yule mamba aliambulia kuuma gauni lake kwa nyuma lakini mwanangu hakumdhuru. Nilichungulia kwa chini lakini sikumwona mwanangu.

Nisijue la kufanya, nikastuka ndotoni.

Mimi Pangu Pakavu nimeota, naomba wajuzi nipeni tafsiri.

nilidhani umeota jamaa wamepindua katiba. hapo ningechangia
 
hakuna chochote hapo mkuu we ipotezee ila usiisahau mapema ili kama utaota tena kama hiyo au inayoendana na hiyo.
pia mwombe Mungu ili ikiwa kuna baya lolote akuepushe nalo.
 
Wewe ni Mtunzi mzuri wa riwaya kama ambavyo nimekuwa nikikwambia, we endelea tu kupata uzoefu.
 
Mkuu kwa kujifanya Yusufu aka Cha njozi!
ndoto zipo tu, ni kawaida na proven scientifically.
kama ni uongo au ukweli, yeye ataleta feedback ktk hili. nina uzoefu na hizo makitu na hakika yake kitu kilichoko mbele yangu huwa nakiota kabla hakijatokea. kuna hatari inamkaribia huyo mtoto wake lakini hatakufa pamoja na kwamba anaweza kukwaruriwa walau kidogo ila hatapata madhara makubwa mtoto wake ataendelea kuishi. kuna siku atakuja kuleta feedback hapa.
 
ukilala unekunja miguu lazima ndoto iwe ya kutisha. jitahidi kutokukunja miguu wakati unapoenda kulala.
 
mzee, wenzio wanakufariji na kukuficha, mimi nitakwambia ukweli wote.

ndoto yako ina maana kwamba, mtoto wako atakabiliwa na hatari ambayo inaweza kupoteza uhai wake kabisa, lakini ataponea chupuchupu. kitu cha muimu ni kwamba, uliona hajafa yaani wale mamba waliokuwa wanamfukuza hawakufanikiwa kumkamata, ni mamba mdogo ndio aling'ata tu gauni hiyo ina maana kwamba atakuwa attacked na kitu kitakachomuumiza kwa kumkwarua tu hatadhurika. tarajia hilo.

ndoto hizi huwa ukiota leo inaweza kutokea ndani ya wiki moja au mbili au mwezi au miezi. hivyo nakushauri anza kuomba Mungu na kukemea na kuvunja ndoto hiyo mbaya kwa Jina la Yesu Kristo lazima itasambaratika.

siku nyingine ukiota ndoto, palepale usiku utakapostuka usisubiri, ujue unapoota ndoto inamaana maadui zako ndio wako kwenye kikao cha kupanga mipango hiyo (maadui wanaweza kuwa wachawi au hata mapepo/mashetani tu huko kuzimu) na Mungu ni mwaminifu huwa anawaonyesha ndoto wabaya na wema. ukistuka tu palepale we kemea na sambaratisha, usipofanya hivyo ujue kuanzia kesho yake wale jamaa wanaanza kuitekeleza kwa kuweka mitego na kutuma mapepo, hivyo wawahi kabla hawajaanza kuitendea kazi wasambaratisha palepale usiku na huwa inafutika na haitatokea. kwasababu haujasambaratisha, jaribu kusambaratisha sasaivi kwamba mitego waliyoitega au maadui waliokaa tayari wasambaratishwe kwa Jina la Yesu, kama hautafanya hivyo itatokea kama ulivyoota. hayo maji ni ni dunia yaani mitaani huko, kuogelea kwenye maji ni kutembeatembea duniani na hayo mamamba inaweza kuwa hatari yeyote ambayo mashetani yametumwa kuja kufanya either ajali, ugomvi, magonjwa etc.

Mmh kazi ninayo aisee! Asante kamanda
 
kama ni uongo au ukweli, yeye ataleta feedback ktk hili. nina uzoefu na hizo makitu na hakika yake kitu kilichoko mbele yangu huwa nakiota kabla hakijatokea. kuna hatari inamkaribia huyo mtoto wake lakini hatakufa pamoja na kwamba anaweza kukwaruriwa walau kidogo ila hatapata madhara makubwa mtoto wake ataendelea kuishi. kuna siku atakuja kuleta feedback hapa.

Mkuu hapa nahisi tumbo la kuhara
 
Back
Top Bottom