Ndoto hii ina maana gani?

Ndoto hii ina maana gani?

K 4 LIFE

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2015
Posts
2,567
Reaction score
419
Wakuu nisaidieni kutafsiri ndoto hii ni kwamba USIKU NIMEOTA NIPO MAREKANI PANDE ZA NEW YORK KWA KINA DIDY NA JAY Z.

Lakini ajabu kuja kushtuka kumbe ni hapa hapa bongo keko toroli.

Wakuu hii ndoto ina maana gani?
 
wakuu nisaidieni kutafsiri ndoto hii ni kwamba USIKU NIMEOTA NIPO MAREKANI PANDE ZA NEW YORK KWA KINA DIDY NA JAY Z, lakini ajabu kuja kushtuka kumbe ni hapa hapa bongo keko toroli. wakuu hii ndoto ina maana gani?

ina maanisha umasikini uliotukuka kwako hauko mbali kukujia.
 
ina maanisha utakuwa masikini maisha yako yote, yaan ww inaonyesha umezaliwa kuja kusindikiza wenzako dunian.

hahaaaa!! just a kidding bro
 
endelea kulala na uwe makini maana kwenda state bila passport ni sawa na kuvaa sokx nje ya kiatu
 
Sasa umeamka ili iweje
ungebaki huko huko marekani bongo huku shida tu
 
Hiyo ndoto ina manaa kuwa ulikuwa
unakunywa viroba vya double punch
sasa, na kitu kikakupa ile stimu kama
ya bange ni bangue.

Wakuu nisaidieni kutafsiri ndoto hii ni kwamba USIKU NIMEOTA NIPO MAREKANI PANDE ZA NEW YORK KWA KINA DIDY NA JAY Z.

Lakini ajabu kuja kushtuka kumbe ni hapa hapa bongo keko toroli.

Wakuu hii ndoto ina maana gani?
 
Itakua hiyo biashara ya ya fegi ya Tarime inakuendea vema.
 
umejuaje kama ni new York au ulishawahi kwenda? kweli wewe ni k for life...hio k ni nini au papuchi
 
Back
Top Bottom