Ndoto hii ina maana gani?

Ndoto hii ina maana gani?

muhuni mpya

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2018
Posts
300
Reaction score
166
Ndugu zangu, kwa wenye uwelewa wa ndoto kama hizi naombeni mnijuze, nmekuwa nikimuota marehemu baba yangu kila mara lakini kwa muda tofauti tofaut lakini wiki hii tangu ianze nimekuwa namuota mara tatu mfululizo kwamba nipo nae, sasa ndoto niliyoota leo kwamba baba yangu mzima kabisa kakaa kwenye kiti napiga nae stori huku nikiwa napika mayai, nilipomaliza kupika nikamuwekea kwenye sahani nikamwambia kula na mimi uniachie kidogo.Akala akaniachia na mimi nikamalizia, tukawa tunaongea tu anasema sasa hivi sina hela hata kidogo yani nipo tuu, nikakumbuka nikamuuliza account zako zimefungwa baada ya wewe kufariki inakuwaje sasa umerudi na bado hazijafunguliwa, nikamwambia nimekumbuka kitu embu nielezee tulivyokuzika ilikuwaje na mpaka kurudi sasa, akawa anasema kipindi mnanizika nilikuwa nawaona ila kufanya chochote siwezi hadi kunifukia, nikashtuka ndoto ikawa imekatika hapo.

Naomba kwa yeyote anayefahamu au wazo lolote kuhusu ndoto kama hizi.

ASANTE.
 
mawazo yako tu mzee baba ila inaweza kuwa ni kipindi kama hiki alikufa ebu tafakari vizuri. ila msubirie mshana jr haya ndo mambo yake.
 
Nikweli alifarik mwez huu mwaka jana hapo mwanzo nikilala zinanjia sauti za ajabu ajabu kichwani zikakata lakin saiv nimwendo ndoto, sijui kwanii
mawazo yako tu mzee baba ila inaweza kuwa ni kipindi kama hiki alikufa ebu tafakari vizuri. ila msubirie mshana jr haya ndo mambo yake.
 
Nikweli alifarik mwez huu mwaka jana hapo mwanzo nikilala zinanjia sauti za ajabu ajabu kichwani zikakata lakin saiv nimwendo ndoto, sijui kwanii
kama ni kipindi kama hiki mwaka jana ndo maana ndoto inakuja, ila wajuzi watakuja kutoa maelezo zaidi kuhusu kula mayai na marehem nk. stay tuned
 
Bila Shaka mlimpenda sana na aliondoka wakati mnamhitaji..Fanya maombi maalum hali hiyo itaisha
 
Nikweli alifarik mwez huu mwaka jana hapo mwanzo nikilala zinanjia sauti za ajabu ajabu kichwani zikakata lakin saiv nimwendo ndoto, sijui kwanii
Natamani kukusaidia na kukueleza ninini hicho
 
Asante ndugu yangu nimekuelewa vizur
Ndg Wilson..usijali hiyo NI ujumbe (ulimsahau Sana) kuwako..umkumbuke kwa kumtolea Swadaqa (wape Masikini/fukara) na mrhm.Mzee wako anahitaji Dua'a zako umuombee Rehema kwa Mola !!
Ubarikiwe
 
sijaelewa vizuri nifafanulie ndugu
Dunia inapande mbili hii kaka watu wengi wamezika vitu wasivyovijua wakidhani ni wapendwa wao kuna vitu naweza kukuambia vilivyo fanyika siku ya msiba huo japo sikuwepo ila kwakuwa najua haya mambo yalivyo ninaongea tena Mzee wako hakufa na hajawahi kufa ila amefichwa machoni penu tu na wajanja flani flani haya mambo yapo
 
Dunia inapande mbili hii kaka watu wengi wamezika vitu wasivyovijua wakidhani ni wapendwa wao kuna vitu naweza kukuambia vilivyo fanyika siku ya msiba huo japo sikuwepo ila kwakuwa najua haya mambo yalivyo ninaongea tena Mzee wako hakufa na hajawahi kufa ila amefichwa machoni penu tu na wajanja flani flani haya mambo yapo
Nimeelewa sasa ndugu, nifanyaje hapa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom