The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,111
- 115,906
- Thread starter
- #21
Ndio maana nikasema kama hujui uliza? ndondo ni bonanza? utachekwa.
Kuna bonanza gani watu wanalipa kiingilio kuiangalia na wanajaa kushinda hata mechi za ligi kuu?
halafu umagharibi usituharibu. Vya nyumbani tuvipende na kuvithamini pia.
Kulipia tu ndo kuna fanya mashindano yawe credible?
mshindi wa ndondo cup anaenda wapi?anashiriki wapi after that?
Tff CAF na FIFA zinahusika na ndondo cup?