Ndondo Cup, Azam TV acheni huu upuuzi

Ndio maana nikasema kama hujui uliza? ndondo ni bonanza? utachekwa.
Kuna bonanza gani watu wanalipa kiingilio kuiangalia na wanajaa kushinda hata mechi za ligi kuu?
halafu umagharibi usituharibu. Vya nyumbani tuvipende na kuvithamini pia.

Kulipia tu ndo kuna fanya mashindano yawe credible?
mshindi wa ndondo cup anaenda wapi?anashiriki wapi after that?
Tff CAF na FIFA zinahusika na ndondo cup?
 
Azam TV wanachojaribu ni kugusa kila eneo ili waburudishe kila aina ya wateja wake. Kama wewe unatakamani waonyeshe Kriketi wengine hizo ndondo wanatamani pia. Kwani zile mechi za pre season ziko kwenye kalenda ya Fifa au TFF mbona AzamTV wameonyesha.

Pre season zinaoneshwa na tv za club..
na zinatambulika na vyama vya nchi zao
 
Kwa watu walianza kuangalia ndondo tangu 1990's enzi zile za Lucky Rangers tunakushangaa sana.

Elewa kinachozungumzwa
mtu akienda kutazama ndondo cup hakuna tatizo
hapa tunazungumzia big sports evnts za mtu kulipia tv kutazama...
hiyo miaka ya 90 kulikuwa na tv mnalipia kutazama ndondo cup?
 
Endelea kuamini unachoamini. Ila acha kudharau ndondo cup.

Ukisoma vizuri utaona ugomvi wangu ni Azam tv na kulipia kutazama
sina ugomvi na Ndondo cup...hasa kama ingeoneshwa bure tu kwa kupitia tbc au clouds tv na wengine
ugomvi wangu ni azam hd sports....
 
Ukisoma vizuri utaona ugomvi wangu ni Azam tv na kulipia kutazama
sina ugomvi na Ndondo cup...hasa kama ingeoneshwa bure tu kwa kupitia tbc au clouds tv na wengine
ugomvi wangu ni azam hd sports....

Kwahiyo leo AzamTV wakionyesha FA cup preliminary rounds ambazo ndio timu za mitaani (ndondo) za uingereza sawa? Hahahhahaha.
 
i think ni kitu kizuri sana kuonyesha mpira halisi wa uswahilini kwet mimi km mteja wa azam nimependa saanaa
 
Mi huwa napenda kwenda hizi ndondo. Sio kwenye tv ila kuzishuhudia physically.
Kuna taste fulani naipata ambayo haielezeki.
 
Id yako ilitakiwa iwe the IDIOT maana unaongea upumbavu kwan hata mjinga ana nafuu
 
Yaani mtu kalipia king'amuzi cha Azam sports HD halafu mnaenda kumuonesha
'ndondo cup'?
seriously?

Hivi Azam wameshindwa hata kuonesha Kagame cup
halafu bila aibu mnaonesha NDONDO CUP?

Michuano ya kimtaani mtaani ambayo haipo hata ratiba ya TFF?

Michuano hiyo ni burudani zaidi kuliko mpira wa kweli..umaarufu wake ni wa vituko vya mashabiki tu.....Azam kama mko serious na mnataka kushindana na DStv
please stop this........

Baada ya Spanish La liga basi tuoneshe Africa club championship au tuonesheni ligi ya EGYPT yenye timu kama AL-ahly na Zamalek
kuna vitu vingi vya kuonesha vya afrika nzima na sio ndondo cup

Mnajiabisha saaana, so mediocre.


Azam inatazamwa na wengi tukiwemo sisi wapenzi wa hio NDONDO CUP unayoona ni upuuzi! Tean huwa tunaenda viwanjani kabisa. Mkuu heshimu michezo ya wengine kama hupendi Ndondo Cup usiangalie subiri wakiweka Kagame,La Liga angalia,sidhani kama wanaonesha Ndondo Cup 24hrs.
 
Elewa kinachozungumzwa
mtu akienda kutazama ndondo cup hakuna tatizo
hapa tunazungumzia big sports evnts za mtu kulipia tv kutazama...
hiyo miaka ya 90 kulikuwa na tv mnalipia kutazama ndondo cup?


Hivi ndondo cup inaonyeshwa 24hrs??!! Au hizo cups unazoona zinastahili kuonekana kwenye HD zinaoneshwa 24hrs??
 
Huna akili ukiona huhitaji ndondo cup change channel acha majungu hayakupeleki popote!

Twende na ukawa

kula kwa magufuli kura kwa ukawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom