Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 52,367
- 24,062
Wanasema imani n kuwa na uhakika wa mambo yatarajiwayo n bayana ya mambo yasioonekana
Dah nnina dada yangu kaolewa kama mwez umepita jana kapiga mumewe kahamishiwa dodoma....
Hapo tuna mwingine kaolewa toka mwakajuzi mume anaishia songea mke dar na wanae
Jamaa anakuja kukagua kama anachukua hela benki siku tatu nne kageuka
Nawaza huuyu nae anaenda kupokea machungu yaleyale aisee.....
Mwaka wetu huu
Dah nnina dada yangu kaolewa kama mwez umepita jana kapiga mumewe kahamishiwa dodoma....
Hapo tuna mwingine kaolewa toka mwakajuzi mume anaishia songea mke dar na wanae
Jamaa anakuja kukagua kama anachukua hela benki siku tatu nne kageuka
Nawaza huuyu nae anaenda kupokea machungu yaleyale aisee.....
Mwaka wetu huu