Ndoa za siku hizi

Ndoa za siku hizi

Brodre

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2012
Posts
2,587
Reaction score
1,855
habari za jioni wadau nafatilia kipindi cha chereko na kutokana na experience nimegundua ndoa za siku hizi kama zinafungiwa sehemu za dini au kwa mkuu wa wilaya utakuta watu.ni wachache kuliko wakati wa sherehe... unaeza kuta watu saba hata nane wakati wakati wa sherehe watu wanajaa nisahihisheni kama sitokua sahihi hivi wakati wa kufungusha ndoa si mdo wa muhimu zaidi kuliko sherehe maana ile ndo yahtaj mashuhuda zaidi?
 
Tunapewaga kadi za mwaliko/ ufadhili wa harusi......
harusi zipo ukumbini ndoa kanisani!!!!!
 
Tunapewaga kadi za mwaliko/ ufadhili wa harusi......
harusi zipo ukumbini ndoa kanisani!!!!!

Ndoa walishafungaga tangu mara ya kwanza wanalalana so hakuna haja ya kwenda church. Tena unakuta kavaa na shela af mimba miez saba.
Heri ukumbini mkale pilau tu bana.
 
Ndoa walishafungaga tangu mara ya kwanza wanalalana so hakuna haja ya kwenda church. Tena unakuta kavaa na shela af mimba miez saba.
Heri ukumbini mkale pilau tu bana.

hapo sasa,maharusi wengine wanakuwa na watoto kabisa.... siku hizi hakuna kufunga ndoa ni kuzibariki tu!!!!
 
habari za jioni wadau nafatilia kipindi cha chereko na kutokana na experience nimegundua ndoa za siku hizi kama zinafungiwa sehemu za dini au kwa mkuu wa wilaya utakuta watu.ni wachache kuliko wakati wa sherehe... unaeza kuta watu saba hata nane wakati wakati wa sherehe watu wanajaa nisahihisheni kama sitokua sahihi hivi wakati wa kufungusha ndoa si mdo wa muhimu zaidi kuliko sherehe maana ile ndo yahtaj mashuhuda zaidi?

Watu wanakosea, ibada ya ndoa ni ibada takatifu kama zilivyo ibada zingine, inatakiwa watu wawepo kwa wingi kushuhudia na kumshukuru Mungu kwa muunganiko huo. Kwenye kanisa langu ninakumbuka kijijini tulikuwa tunajaa sana kanisani lakini huku mjini watu hudharau na kufika ukumbini tu. Siku hizi ndoa imefanywa ya mtindo.
 
hata mie duhh!! labda kama nasimamia ndiyo naanzia kanisani!!!


kuanzia church ni ngumu kidogo ,nilishawahi kuhudhuria moja ilifungishwa pale ufukwe wa white sands halafu ikafuatiwa na party hapo hapo ufukweni kwenye ule ukumbi wa ufukweni..... ilikuwa nzuri na nilipenda.
 
Ni jambo la kusikitisha.. Watu wanathamini kwenda kwenye maakuli kuliko kuwasindikiza maharusi katika tukio lenyewe...

huu utamaduni unakuwa kwa kasi ya ajabu, yani kanisani utakuta wazazi, ndugu wachache na marafiki wa karibu mmoja mmoja.

Kanisani ndo kuna ndoa.. Yanayofuata baada ya hayo ni manjonjo tu lol. Aidha.. Kwa kuhudhuria kanisani kwa wale ndoa zao zimeanza kusua sua wanaweza kupata kitu cha kuwajenga na kuimarisha tena ndoa yao.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Watu wanakosea, ibada ya ndoa ni ibada takatifu kama zilivyo ibada zingine, inatakiwa watu wawepo kwa wingi kushuhudia na kumshukuru Mungu kwa muunganiko huo. Kwenye kanisa langu ninakumbuka kijijini tulikuwa tunajaa sana kanisani lakini huku mjini watu hudharau na kufika ukumbini tu. Siku hizi ndoa imefanywa ya mtindo.

itafika kipindi kutakua hakuna kufungishana ndoa sasa itakua ni ukumbini moja kwa moja kukata keki na kunyweshana machampagne
 
Ni jambo la kusikitisha.. Watu wanathamini kwenda kwenye maakuli kuliko kuwasindikiza maharusi katika tukio lenyewe...

huu utamaduni unakuwa kwa kasi ya ajabu, yani kanisani utakuta wazazi, ndugu wachache na marafiki wa karibu mmoja mmoja.

Kanisani ndo kuna ndoa.. Yanayofuata baada ya hayo ni manjonjo tu lol. Aidha.. Kwa kuhudhuria kanisani kwa wale ndoa zao zimeanza kusua sua wanaweza kupata kitu cha kuwajenga na kuimarisha tena ndoa yao.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Nakubaliana na ww mkuu
 
Ni jambo la kusikitisha.. Watu wanathamini kwenda kwenye maakuli kuliko kuwasindikiza maharusi katika tukio lenyewe...

huu utamaduni unakuwa kwa kasi ya ajabu, yani kanisani utakuta wazazi, ndugu wachache na marafiki wa karibu mmoja mmoja.

Kanisani ndo kuna ndoa.. Yanayofuata baada ya hayo ni manjonjo tu lol. Aidha.. Kwa kuhudhuria kanisani kwa wale ndoa zao zimeanza kusua sua wanaweza kupata kitu cha kuwajenga na kuimarisha tena ndoa yao.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Kwangu haitotokea.
Mimi nimejiwekea principle kuwa kama ninafahamu fika at least binti hana mimba basi kanisani nitafika (maana ushahidi wa kutogegedana sina..ila mimba ntajua tu).
Ila hawa siku hizi watoto watatu mnao bado mnanichangisha mchango wa harusi alafu niende kanisani kufanya nini!!!😕
 
Back
Top Bottom