Kumbe unona, mbona zipo, kwani wew unafkiri ile hati ya ndoa inamaanisha nin?? Si ndio mkataba wenyewe..
Labda angesema mkataba wa muda maalum
Kumbe unona, mbona zipo, kwani wew unafkiri ile hati ya ndoa inamaanisha nin?? Si ndio mkataba wenyewe..
Labda angesema mkataba wa muda maalum
Mkataba wa muda mfupi. Nadhan mtoa mada alimaanisha hivyo.
Ila me nadhani hata mikataba isiwepo wanaume tugome ukisikia unatafuta goma unachuja unaendeleaje na mishe zako. Siku hizi hakuna mwanamke mwema, wanawake wema wameisha yamebaki makapi yake tu.
Labda angesema mkataba wa muda maalum
Natafuta mume wa only one year mkataba jamani
Kumbe unona, mbona zipo, kwani wew unafkiri ile hati ya ndoa inamaanisha nin?? Si ndio mkataba wenyewe..
Wake wema ni mama zetu tuu, waliotulea mpaka tumekua big buddies..
Labda angesema mkataba wa muda maalum
Hahahaaaaaa! Hajui huyu kuwa ULE NDO MKATABA WA KUGAWANA 50 by 50 ya your hard earned money na GOLKEEPER kwa hiari yako pasi kuja kushurutishwa huko mbeleni!!!!!!! Inahuuuuuuuuuuu?
Yeye anasaini tu bila kuona mbele!
Labda angesema mkataba wa muda maalum
Tatizo la moyo ni kutaka kisichopatikana! Mkifunga ya mkataba ile unakaribia kuexpire tu mapenzi yananogaje??????????? Ukirenew hivo hivo! UKIJITIA KUSIGN PERMANENT KWISHA HABARI YAKO!!!!!!!!!!!
Hahahaaaaaa! Hajui huyu kuwa ULE NDO MKATABA WA KUGAWANA 50 by 50 ya your hard earned money na GOLKEEPER kwa hiari yako pasi kuja kushurutishwa huko mbeleni!!!!!!! Inahuuuuuuuuuuu?
Yeye anasaini tu bila kuona mbele!
kama ndio hivyo basi hata watoto wanaozaliwa leo mama zao ni wake wema , coz wanalelewa hadi wanakuwa watu wazima.
Basi ngoja niseme hivi mke mwema anatoka Bwana
wanawake wengi wa saivi pesa
kwanza mapenzi baadae....sasa kuna haja gani ya kuwa na mwanamke
huyohuyo kila siku wakati unatumia pesa kuwa nae?...y not changing them
kama nguo?...me naona kuna haja ya kuwa na ndoa za mikataba hapa
Tanzania
Lara 1 hapo kwenye bold kumenifanya niamini hi kitu tayari ipo na i'm sure tayari we unaiishi cause umeongea kama mtu mwenye experience already! Hebu tiririka, mlifanyaje hadi mka saini hiyo kitu?Tatizo la moyo ni kutaka kisichopatikana! Mkifunga ya mkataba ile unakaribia kuexpire tu mapenzi yananogaje??????????? Ukirenew hivo hivo! UKIJITIA KUSIGN PERMANENT KWISHA HABARI YAKO!!!!!!!!!!!