TOTS SHALO
Senior Member
- Sep 24, 2012
- 152
- 25
Kumbe ilikuwa ndoto!!!???
Sio ndoto kaka iyo laiv ndugu yangu usiombe ikufike.
kuna mdada kila nikikutana nae napenda xana kumtania kuwa nampenda bas yeye aniambia kuwa utaniweza wewe Tots mie mashine kubwa sais ya kaka zako mzki wangu hauwez unaweza ukafia kitandani basi mie roho inaauma kweli leo kanipigia cm nakuniambia niende kwao fasita anipe utam nikajianda fasta fasta nikaenda kwao na dem nikamkuta akaniambia nenda sebleni hakuna mtu niko mwenyewe nakuja mtu mzma nikajiweka hadi kwa sebule ghafla nikashangaa anakuja shehe na wapambe wake
pamoja na wazaz wa yule bint nakuanza kuniambia kuwa leo wananifungisha ndoa yamkeka kwasababu nimempa mimba binti yao na muhusika nimimi nililia sana hadi nikazuga kuzmia wakanitoma njee nakuanza kunipepea ili nipate hewa nilipoona usawa umekaa sawa niliinuka nikakimbia mbio ambazo sijawahi kimbia hadi miguu yangu ikavimba.
Sio ndoto kaka iyo laiv ndugu yangu usiombe ikufike.
Hadithi,hadithi,......Hadithi njoo,UONGO NJOO,utamu kolea,Hapo zamani za kale...............................................,..,,............,,.........!!!! Hadithi hii inatufundisha nini?