Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 5,885
- 13,263
Ningependa kujua je wale wanaume wenzetu wanaoishi na wake wawili je wana changamoto kama ya ndoa ya mke mmoja? Je, hao wanawake hawaoneani wivu? Kwa kimila yangu unaweza kuishi nao hata ndani ya nyumba vyumba tofauti (ila zamani mnajua wazee hawana wivu).
Nimeona kuna dini inayoruhusu lakini mwanaume uwe na uwezo, kwahiyo waishi tofauti au hata pamoja? Je mnaweza ku-share kitanda kimoja?
Ndoa ya wake zaidi ya wawili inaonekana haina stress kama hawa wanaoolewa wanajiachia
Nimeona kuna dini inayoruhusu lakini mwanaume uwe na uwezo, kwahiyo waishi tofauti au hata pamoja? Je mnaweza ku-share kitanda kimoja?
Ndoa ya wake zaidi ya wawili inaonekana haina stress kama hawa wanaoolewa wanajiachia