Ndiyo.hivi Tz kuna ndoa za mkataba
Kwa hapa bongo sidhan maana ndoa ya mkataba Mara nyingi kila pande inanufaika ,yaan mwanamme unahudumiwa mahitaji yako ,,ila mwanamke anapewa kitu km malipo ili hata atakapoondoka awe nakitu chakufanya maisha.hivi Tz kuna ndoa za mkataba