Kwa zama tulizopo,
Ni aibu sana kwa mwanaume kulilia ndoa,
Ndoa zipo kwa ajili ya kuwasitiri na kuwaheshimisha wanawake,
Wanawake ndio wanapaswa kuzipigania na kuzilinda ndoa zao kwa nguvu zote,
Wee mwanaume kazi yako ni kutimiza tu mahitaji yao ya msingi na ya ziada ili maisha yaende vizuri.
Ukiona mwanaume analia lia kisa ndoa inataka kuvunjika, Jua hamna kitu mule.
MWANAUME MSIMAMO BHANA, HATA KAMA NIMEKOSEA KIASI GANI LIWALO NA LIWE.