Averoes
JF-Expert Member
- Jan 30, 2014
- 985
- 512
Mambo ya Walawi 11 : 1-7
11.1 Bwana akanena na Musa na Haruni, na kuwaambia,
11.2 Neneni na wana wa Israeli, mkiwaambia, Wanyama hawa ndio wanyama wenye uhai mtakaowala, katika hayawani wote walio juu ya nchi.
11.3 Kila mnyama mwenye kwato katika miguu yake, mwenye miguu ya kupasuka kati, mwenye kucheua, katika hayawani, hao ndio mtakaowala.
11.4 Pamoja na hayo, wanyama hawa hamtawala katika wale wenye kucheua, na katika wale walio na kwato; ngamia, kwa sababu yuacheua lakini hana kwato, yeye ni najisi kwenu.
11.5 Na wibari, kwa sababu yeye hucheua lakini hana kwato, yeye ni najisi kwenu.
11.6 Na sungura, kwa sababu hucheua, lakini hana kwato, yeye ni najisi kwenu.
11.7 Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.
Tatizo wagalatia HAWANA MAZINGATIO.