kamtesh
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 1,395
- 512
Kwani Geniveros, naona una minkari sana na these cheap celebrities of yours, nivema mukapanua akiri na kua fikra chanya. The more munawa kadili, the more you give them fame. Suluhu ni ku shut-up na utaona kama wataendelea na this cheap publicity. That is my point, kwa mfano; angalia Jay Z, mwenye fedha kweli, hapendi cheap publicity. Yani naona unatatizo la neno celebrity, celebrity bongo bwana? Achieni magazeti udaku yaande such news, hapa jamvini ni pa watu wenye critical and great minds bwana na sio ushabiki. Anyway, nisibishane na wewe, may be that is kikomo ulicho nacho cha kudadafua mambo. Enjoy your day, sie ni ndugu na kwanini tugombane wakati tuna mitazamo tofauti! I respect your opinion.