Ndoa: Swala la uchumba na mahari

Ndoa: Swala la uchumba na mahari

WPT

Member
Joined
Apr 19, 2016
Posts
20
Reaction score
6
Wana jamvi..
Leo nimefikiria mengi nikaona niangalie na mawazo ya wana jamvi wengine ambaye ni ninyi..

Hivi katika safari ya ndoa, kuna swala la uchumba na mahari..
Je ni mahari huanza, alafu uchumba, kisha ndoa..
Au ni sherehe ya uchumba (Engagement), ndo huanza kisha mahari alafu ndio Ndoa..
Naombeni majibu yaliho sahihi yasiyo yakudhani, kubunia, n.k..
Akhsanteni
 
Daima mtoto anaanza kulala,kisha kukaa,kutambaa ndio aje kutembea halafu chekechea kisha darasa la kwanza.

Inaanza kutongozana,kukubaliwa,kuchunguzana,kutambulishana kwa wazazi kisha posa,halafu mnapangiwa siku ya kutoa mahari,ukiwa na hela andaa sherehe ya uchumba(showoff),usipokuwa nayo valishaneni siku ya kutoa mahari au mkiwa pwke yenu mnapokutania,kisha kitchen party kwa bi harus mtarajiwa,sendoff,bachelor party,etc mwishowe Harusi.

Haa kumbe najua kuandika insha ya magazetini safi kabisa numbisa
 
Daima mtoto anaanza kulala,kisha kukaa,kutambaa ndio aje kutembea halafu chekechea kisha darasa la kwanza.

Inaanza kutongozana,kukubaliwa,kuchunguzana,kutambulishana kwa wazazi kisha posa,halafu mnapangiwa siku ya kutoa mahari,ukiwa na hela andaa sherehe ya uchumba(showoff),usipokuwa nayo valishaneni siku ya kutoa mahari au mkiwa pwke yenu mnapokutania,kisha kitchen party kwa bi harus mtarajiwa,sendoff,bachelor party,etc mwishowe Harusi.

Haa kumbe najua kuandika insha ya magazetini safi kabisa numbisa
Asante.. what is ukaanza na Engagement alafu mahari baadaye?
 
Daima mtoto anaanza kulala,kisha kukaa,kutambaa ndio aje kutembea halafu chekechea kisha darasa la kwanza.

Inaanza kutongozana,kukubaliwa,kuchunguzana,kutambulishana kwa wazazi kisha posa,halafu mnapangiwa siku ya kutoa mahari,ukiwa na hela andaa sherehe ya uchumba(showoff),usipokuwa nayo valishaneni siku ya kutoa mahari au mkiwa pwke yenu mnapokutania,kisha kitchen party kwa bi harus mtarajiwa,sendoff,bachelor party,etc mwishowe Harusi.

Haa kumbe najua kuandika insha ya magazetini safi kabisa numbisa
Hapo kuna kama matukio matatu au manne yanataka kula hela kizembe.

Nitayakata.

Mahari ikiwa kubwa nawaachia mtoto wao. I hope ananipenda tutoroke
 
Hapo kuna kama matukio matatu au manne yanataka kula hela kizembe.

Nitayakata.

Mahari ikiwa kubwa nawaachia mtoto wao. I hope ananipenda tutoroke
Hahahhaa... Shikamoo Magu
 
Engagement kisha Mahari alafu harusi au ndoa.
 
Hahahaa kama yap hayo matukio?

Ukishatoa mahari tayar ni wako haina haja ya kutoroka
Hapo kuna kama matukio matatu au manne yanataka kula hela kizembe.

Nitayakata.

Mahari ikiwa kubwa nawaachia mtoto wao. I hope ananipenda tutoroke
 
Hahahaa kama yap hayo matukio?

Ukishatoa mahari tayar ni wako haina haja ya kutoroka
Kuna hiyo Kitchen party, send off, bachelor party na hata harusi yenyewe
Mahari ikitajwa kubwa hapo ndiyo wakwe wataniona mbaya, ni kutoroka na binti yao tu.
 
Hahahaaa ujue wanafidia hizo sherehe tatu,hiyo bachela ni ya kwako na marafiki zako
Kuna hiyo Kitchen party, send off, bachelor party na hata harusi yenyewe
Mahari ikitajwa kubwa hapo ndiyo wakwe wataniona mbaya, ni kutoroka na binti yao tu.
 
Wana jamvi..
Leo nimefikiria mengi nikaona niangalie na mawazo ya wana jamvi wengine ambaye ni ninyi..

Hivi katika safari ya ndoa, kuna swala la uchumba na mahari..
Je ni mahari huanza, alafu uchumba, kisha ndoa..
Au ni sherehe ya uchumba (Engagement), ndo huanza kisha mahari alafu ndio Ndoa..
Naombeni majibu yaliho sahihi yasiyo yakudhani, kubunia, n.k..
Akhsanteni
Mnakariri vitu vya kipuuzi kabisa, kama huyo demu wako umejiridhisha anatosha kuwa mke na wewe umejipima unatosha kuwa Baba na si nyege zinakupelekesha ili upate uhakika wa mbunye ya kujisevia full time basi fanya hivi.

Ongea na huyo mwenza wako awajurishe kwao lengo lako la kumuoa, wakishakubaliana hapa inategemea na mila na desturi, wapo watakaotaka kukuona kwanza kabla ya kupeleka mshenga ila famulia nyingine hawajali hilo utaambiwa peleka mshenga, ukishapeleka mshenga atapikelewa atatowa barua yako ya kuomba kumposa binti yao, hapo familia zisizo na complication barua yako itajibiwa siku hiyo hiyo na kuelezwa kiwango cha mahari na mshenga wako atapropose tarehe ya kupeleka mahali baada ya kuwasiliana na wewe muowaji.

Kinachofuata ni tarehe ya kupeleka mahari kama ni mpenda mbwembwe ndio unaandaa na engagement ring ya kumvalisha mchumba wako baada ya kutowa mahari kumbuka tukio hili kwa makabila kama wachaga ni lazima uligharamie muowaji na minimum cost ni shilling laki tano bila kuhusisha bia, ni chakula maji na soda, hizi pesa uzikabidhi ukweni in advance kwa maandalizi.

Baada ya tukio hilo sasa upande wa meanaume ndio mnatowa tarehe ya kufunga ndoa kama mnapenda sherehe ndio mnaweka gape ya kukaa vikao pande zote mbili.

Mpaka hapo mchezo umekwisha sasa inakuja zamu ya kukosana na ndugu na marafiki ambao, wapo ambao hawana kitu ila wangependa sana kukuchangia, pia wamo wenye nazo ila si watowaji na hapo ndipo utakapokuja kuwakubali waislamu katika swala zima la ndoa.
 
Haa kumbe wewe mawazo yako ni penzi la maigizo ya mtandaoni?shishi Trump, wolper,aunt ezekiel na wengine wote walishavalishwa pete kwa showoff za mitandaoni
Diamond alimvalisa pete ya uchumba wema.. ina maana alitoa mahari?
 
Msichana kama hujamtolea mahari hawezi kua mchumba.
Ko inaanza kutoa mahari, uchumba alafu ndoa.
 
Back
Top Bottom