Ndoa sio kitu cha mchezomchezo

Ndoa sio kitu cha mchezomchezo

Joined
Dec 29, 2016
Posts
45
Reaction score
47
Habari za mchana wana JF wenzangu.....kuna hiki kitu tunakichukulia poa sana katika maisha haya haswahaswa wadada aisee....

Unakuta mtu kamjua mkaka juzi tu basi anaanza na mawazo yake ya kutaka kuolewa mara amsumbuesumbue ooooh nipeleke kwenu mara oooh mbona hunitambulishi utakua una michepuko.... kumbe mwenzako anakua anakusoma kwanza je unafaa? pia anataka akuoneshe je kwa jinsi unavoniona maisha yangu je ntakufaa?? Sasa wewe mwanamke kisa unaona ana kauwezo ka kukununulia chips basi huyooo dada umezama...huambiwi husikiii fb na insta kooote umejaza mapicha yake bila hata kufikiria mwenzako wala hata wala hata hakupost wala nini.... sasa mtu kama huyu akija kutendwa sasa ndo anakunywaga sumu anajifia zake kisa nini.... you exoected too much... na hata akiolewa daah anakua analalamika saaaaana bila kusahau yeye ndo alilazimisha swala la ndoa


Kila siku mume akirudi kelele tu oooh mamaako kafanya hivi ooooh dada zako wako hivi ooooh sijui nini...mpaka mwanaume anakuchoka anaenda kuhudumiwa nje..... mambo yote wadada yanayotutokea kwenye mahusiano SISI NDO TATIZO....

Tujirekebishe...tujiheshimu, tujielewe tusiwe tunakurupuka ovyooo kisa mwanaume anavijihela hata kama humpendi umemganda.... kua mkweli na hisia zako......

Ushauri wa mwisho kabisa..... ukipenda usipende 100% utaumiaaaaa.... wanaume sio watu, kama vile wanavyotuona sisi wanawake sio watu.....

USIMUAMINI MTU.
 
Hapo ndio mnapo koseaga, ukipenda penda hata 300% enjoy love, lakini ujue tu "kila kitu kina mwanzo na mwisho" na uwe tayari kuachwa au kuacha na uchukulie kawaida janga likikutokea.
Kila kitu unacho kifanya ikiwepo kupenda kifanye kwa passion na kwa furaha, sio una vizia vizia eti kisa huwa amini wanaume.
Kanuni ya kupenda ni "do more expect less" na msilazimishe standard zenu ziwe za wapenzi wenu eti ooh nimekuweka facebook mara 3 wewe hata mara moja hujaniweka, hapo ndio mnapo kosea, picha sio kipimo cha upendo ni style ya maisha tu.
Kina dada acheni kupena sumu mkikaa pamoja ndio tatizo lenu hilo.
Pia usitake relation yako na mpenzi wako iwe kama relation ya shoga yako na mpenzi wake, each relation is unique.
Ntarudi tena baadaye
 
Hapo ndio mnapo koseaga, ukipenda penda hata 300% enjoy love, lakini ujue tu "kila kitu kina mwanzo na mwisho" na uwe tayari kuachwa au kuacha na uchukulie kawaida janga likikutokea.
Kila kitu unacho kifanya ikiwepo kupenda kifanye kwa passion na kwa furaha, sio una vizia vizia eti kisa huwa amini wanaume.
Kanuni ya kupenda ni "do more expect less" na msilazimishe standard zenu ziwe za wapenzi wenu eti ooh nimekuweka facebook mara 3 wewe hata mara moja hujaniweka, hapo ndio mnapo kosea, picha sio kipimo cha upendo ni style ya maisha tu.
Kina dada acheni kupena sumu mkikaa pamoja ndio tatizo lenu hilo.
Pia usitake relation yako na mpenzi wako iwe kama relation ya shoga yako na mpenzi wake, each relation is unique.
Ntarudi tena baadaye
Uwe na kanuni hiyo kama huyo mtu anaeleweka na kuaminika.... kwani mbona nyinyi wanaume mnakaa mguu ndani mguu nje?? na ukiona mwanamke kajiachia ivo ujue kutendwa kunakuja.... sijasema mtu ajibane bane lakini afanye mambo yoooote akijua anytime kuna kuachana sio kuzama miguu yote miwili kwa mtu uliemjulia ukubwani.... huo ndo ukweli
 
Uwe na kanuni hiyo kama huyo mtu anaeleweka na kuaminika.... kwani mbona nyinyi wanaume mnakaa mguu ndani mguu nje?? na ukiona mwanamke kajiachia ivo ujue kutendwa kunakuja.... sijasema mtu ajibane bane lakini afanye mambo yoooote akijua anytime kuna kuachana sio kuzama miguu yote miwili kwa mtu uliemjulia ukubwani.... huo ndo ukweli
Naamini huwezi kuingia kwenye mapenzi na mtu asiye eleweka, though sjui asiye eleweka yukoje.
Ila ukisha mkubalia mwanaume this means ume mkubali kama alivyo, so enjoy vya kutosha siku mapenzi ya ki isha, move on.
Sio kila mahusiano huleta ndoa yaan huo ndio ukweli. Ukisha ujua huwez pata shida
 
Naamini huwezi kuingia kwenye mapenzi na mtu asiye eleweka, though sjui asiye eleweka yukoje.
Ila ukisha mkubalia mwanaume this means ume mkubali kama alivyo, so enjoy vya kutosha siku mapenzi ya ki isha, move on.
Sio kila mahusiano huleta ndoa yaan huo ndio ukweli. Ukisha ujua huwez pata shida
Hahahaaaaa..... wanawake wanaowakubali wanaume kwa sababu ya pesa wamewakubali kama walivyo??? wanafunzi wanaowakubali waalim kwaajili ya maksi wamewakubali kama walivyo???
 
Hahahaaaaa..... wanawake wanaowakubali wanaume kwa sababu ya pesa wamewakubali kama walivyo??? wanafunzi wanaowakubali waalim kwaajili ya maksi wamewakubali kama walivyo???
Sasa umemkubali kwa sababu ya pesa, hiyo sio relation, hiyo ni biashara, na kwa namna hiyo kama anakupa pesa umepata unachotaka endelea ku enjoy.
Uzuri una jifunga mwenyewe so kama unataka pesa tu, basi wazo la kuolewa liweke extra aki ku treat vibaya tambua kuwa ilimradi biashara yako inakwenda wewe songa mbele, furahia maamuzi yako mimi ndio nnacho shikilia.

Ukisha nikubali et kwa kuwa nina pesa tu basi malalamiko yasiwepo ikiwa pesa nakupa. Ila kama ulimkubali ki kawaida tu vumilia mapungufu yake na usihesabu jema wala baya.
 
Hapo ndio mnapo koseaga, ukipenda penda hata 300% enjoy love, lakini ujue tu "kila kitu kina mwanzo na mwisho" na uwe tayari kuachwa au kuacha na uchukulie kawaida janga likikutokea.
Kila kitu unacho kifanya ikiwepo kupenda kifanye kwa passion na kwa furaha, sio una vizia vizia eti kisa huwa amini wanaume.
Kanuni ya kupenda ni "do more expect less" na msilazimishe standard zenu ziwe za wapenzi wenu eti ooh nimekuweka facebook mara 3 wewe hata mara moja hujaniweka, hapo ndio mnapo kosea, picha sio kipimo cha upendo ni style ya maisha tu.
Kina dada acheni kupena sumu mkikaa pamoja ndio tatizo lenu hilo.
Pia usitake relation yako na mpenzi wako iwe kama relation ya shoga yako na mpenzi wake, each relation is unique.
Ntarudi tena baadaye
Kuna mama mmoja nilikutana nae, aliniambia ni mwaka wa 50 kwenye ndoa yake, alisema maneno kama yako, it needs a lot of giving in than drawing back, end of the day two of you become best friends.
 
Kuna mama mmoja nilikutana nae, aliniambia ni mwaka wa 50 kwenye ndoa yake, alisema maneno kama yako, it needs a lot of giving in that drawing back, end of the day two of you become best friends.
Aaah
Miaka 50 alitisha, endelea kuchukua mafunzo hapo na yako inaweza ku copy miaka hiyo
 
Wanafkiri ndoa n kuamka
Asubuh na kunawa uso tu
 
Hapo ndio mnapo koseaga, ukipenda penda hata 300% enjoy love, lakini ujue tu "kila kitu kina mwanzo na mwisho" na uwe tayari kuachwa au kuacha na uchukulie kawaida janga likikutokea.
Kila kitu unacho kifanya ikiwepo kupenda kifanye kwa passion na kwa furaha, sio una vizia vizia eti kisa huwa amini wanaume.
Kanuni ya kupenda ni "do more expect less" na msilazimishe standard zenu ziwe za wapenzi wenu eti ooh nimekuweka facebook mara 3 wewe hata mara moja hujaniweka, hapo ndio mnapo kosea, picha sio kipimo cha upendo ni style ya maisha tu.
Kina dada acheni kupena sumu mkikaa pamoja ndio tatizo lenu hilo.
Pia usitake relation yako na mpenzi wako iwe kama relation ya shoga yako na mpenzi wake, each relation is unique.
Ntarudi tena baadaye
Maneno kuntu Sana
 
Habari za mchana wana JF wenzangu.....kuna hiki kitu tunakichukulia poa sana katika maisha haya haswahaswa wadada aisee....

Unakuta mtu kamjua mkaka juzi tu basi anaanza na mawazo yake ya kutaka kuolewa mara amsumbuesumbue ooooh nipeleke kwenu mara oooh mbona hunitambulishi utakua una michepuko.... kumbe mwenzako anakua anakusoma kwanza je unafaa? pia anataka akuoneshe je kwa jinsi unavoniona maisha yangu je ntakufaa?? Sasa wewe mwanamke kisa unaona ana kauwezo ka kukununulia chips basi huyooo dada umezama...huambiwi husikiii fb na insta kooote umejaza mapicha yake bila hata kufikiria mwenzako wala hata wala hata hakupost wala nini.... sasa mtu kama huyu akija kutendwa sasa ndo anakunywaga sumu anajifia zake kisa nini.... you exoected too much... na hata akiolewa daah anakua analalamika saaaaana bila kusahau yeye ndo alilazimisha swala la ndoa


Kila siku mume akirudi kelele tu oooh mamaako kafanya hivi ooooh dada zako wako hivi ooooh sijui nini...mpaka mwanaume anakuchoka anaenda kuhudumiwa nje..... mambo yote wadada yanayotutokea kwenye mahusiano SISI NDO TATIZO....

Tujirekebishe...tujiheshimu, tujielewe tusiwe tunakurupuka ovyooo kisa mwanaume anavijihela hata kama humpendi umemganda.... kua mkweli na hisia zako......

Ushauri wa mwisho kabisa..... ukipenda usipende 100% utaumiaaaaa.... wanaume sio watu, kama vile wanavyotuona sisi wanawake sio watu.....

USIMUAMINI MTU.
ushauri mzuri ila wanaelewaaaaaaa
 
Back
Top Bottom