pretypriceless
Member
- Dec 29, 2016
- 45
- 47
Habari za mchana wana JF wenzangu.....kuna hiki kitu tunakichukulia poa sana katika maisha haya haswahaswa wadada aisee....
Unakuta mtu kamjua mkaka juzi tu basi anaanza na mawazo yake ya kutaka kuolewa mara amsumbuesumbue ooooh nipeleke kwenu mara oooh mbona hunitambulishi utakua una michepuko.... kumbe mwenzako anakua anakusoma kwanza je unafaa? pia anataka akuoneshe je kwa jinsi unavoniona maisha yangu je ntakufaa?? Sasa wewe mwanamke kisa unaona ana kauwezo ka kukununulia chips basi huyooo dada umezama...huambiwi husikiii fb na insta kooote umejaza mapicha yake bila hata kufikiria mwenzako wala hata wala hata hakupost wala nini.... sasa mtu kama huyu akija kutendwa sasa ndo anakunywaga sumu anajifia zake kisa nini.... you exoected too much... na hata akiolewa daah anakua analalamika saaaaana bila kusahau yeye ndo alilazimisha swala la ndoa
Kila siku mume akirudi kelele tu oooh mamaako kafanya hivi ooooh dada zako wako hivi ooooh sijui nini...mpaka mwanaume anakuchoka anaenda kuhudumiwa nje..... mambo yote wadada yanayotutokea kwenye mahusiano SISI NDO TATIZO....
Tujirekebishe...tujiheshimu, tujielewe tusiwe tunakurupuka ovyooo kisa mwanaume anavijihela hata kama humpendi umemganda.... kua mkweli na hisia zako......
Ushauri wa mwisho kabisa..... ukipenda usipende 100% utaumiaaaaa.... wanaume sio watu, kama vile wanavyotuona sisi wanawake sio watu.....
USIMUAMINI MTU.
Unakuta mtu kamjua mkaka juzi tu basi anaanza na mawazo yake ya kutaka kuolewa mara amsumbuesumbue ooooh nipeleke kwenu mara oooh mbona hunitambulishi utakua una michepuko.... kumbe mwenzako anakua anakusoma kwanza je unafaa? pia anataka akuoneshe je kwa jinsi unavoniona maisha yangu je ntakufaa?? Sasa wewe mwanamke kisa unaona ana kauwezo ka kukununulia chips basi huyooo dada umezama...huambiwi husikiii fb na insta kooote umejaza mapicha yake bila hata kufikiria mwenzako wala hata wala hata hakupost wala nini.... sasa mtu kama huyu akija kutendwa sasa ndo anakunywaga sumu anajifia zake kisa nini.... you exoected too much... na hata akiolewa daah anakua analalamika saaaaana bila kusahau yeye ndo alilazimisha swala la ndoa
Kila siku mume akirudi kelele tu oooh mamaako kafanya hivi ooooh dada zako wako hivi ooooh sijui nini...mpaka mwanaume anakuchoka anaenda kuhudumiwa nje..... mambo yote wadada yanayotutokea kwenye mahusiano SISI NDO TATIZO....
Tujirekebishe...tujiheshimu, tujielewe tusiwe tunakurupuka ovyooo kisa mwanaume anavijihela hata kama humpendi umemganda.... kua mkweli na hisia zako......
Ushauri wa mwisho kabisa..... ukipenda usipende 100% utaumiaaaaa.... wanaume sio watu, kama vile wanavyotuona sisi wanawake sio watu.....
USIMUAMINI MTU.
