M2WAWA2
JF-Expert Member
- Aug 15, 2014
- 3,284
- 5,625
Kutokana nawanawake wengi kutokuolewa, wengi wao sasa wamekuwa katika kambi ya wapingandoa, na wengi wao wamejizolea umaarufu kwa kufanya mashambulizi ya kutoshadhidi ya ndoa.
Kunasimulizi nyingi humu JF na kwingineko juu ya ndoa kama ni sehemu ya stress namajuto, na watu wengi wameaminishwa hivyo.
Ifahamike kwamba ndoa ni serikali yakwanza hapa duniani. Kila mtu mke na mtu mume wanapenda maisha ya ndoa.Hoja nasimulizi mbalimbali hazitaweza badili ukweli huu.
Ikumbukwe bila serikali hakunautawala,hakuna usalama,hakuna msingi wa maendeleo endelevu.
Ndio utakuwana cheo kazini kwako,magari ya kutembelea,nyumba ya kisasa kabisa, watoto wasiona baba,
pesa kama mchanga wa baharini, elimu kubwa kupita wote, uzuri wako usiona mfano tangu kuumbwa kwa dunia.
Ila bila maisha ya ndoa ni kazi bure,vyote havitakuwa na thamani kwako.
Ndoa itabakia kuwa ndoa bila kujali uwingi wama elfu ya sababu za kuipinga.
Wenu ‘mtu wawatu'.
Kunasimulizi nyingi humu JF na kwingineko juu ya ndoa kama ni sehemu ya stress namajuto, na watu wengi wameaminishwa hivyo.
Ifahamike kwamba ndoa ni serikali yakwanza hapa duniani. Kila mtu mke na mtu mume wanapenda maisha ya ndoa.Hoja nasimulizi mbalimbali hazitaweza badili ukweli huu.
Ikumbukwe bila serikali hakunautawala,hakuna usalama,hakuna msingi wa maendeleo endelevu.
Ndio utakuwana cheo kazini kwako,magari ya kutembelea,nyumba ya kisasa kabisa, watoto wasiona baba,
pesa kama mchanga wa baharini, elimu kubwa kupita wote, uzuri wako usiona mfano tangu kuumbwa kwa dunia.
Ila bila maisha ya ndoa ni kazi bure,vyote havitakuwa na thamani kwako.
Ndoa itabakia kuwa ndoa bila kujali uwingi wama elfu ya sababu za kuipinga.
Wenu ‘mtu wawatu'.